Wa Igima
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 376
- 110
Kuhudhuria shule, kuwa na nidham nyingi za uoga siyo sababu za kujiamin kuwa unaweza kufaulu!!!!!
Kikubwa apa ni kujitambua na kuwa na ratiba unayo ieshim.
Kwa upande wangu nilipiga pcb na sinaga historia ya kufundishwa na mwalim na nakumbuka nikiwa form six nilishinda shule kwa zaid ya miezi saba mfululizo na mda mwingine nilikuwa na weza kumaliza zaid ya wiki bira kusoma....
Kikubw ni kujiamini tuu..(.................)
Na pepa la mwisho nilichana kama kawa na katika marks zangu hakuna kibundi aliye nikaribia.
Ni hayo tuu!!!
wasalaam...
Kikubwa apa ni kujitambua na kuwa na ratiba unayo ieshim.
Kwa upande wangu nilipiga pcb na sinaga historia ya kufundishwa na mwalim na nakumbuka nikiwa form six nilishinda shule kwa zaid ya miezi saba mfululizo na mda mwingine nilikuwa na weza kumaliza zaid ya wiki bira kusoma....
Kikubw ni kujiamini tuu..(.................)
Na pepa la mwisho nilichana kama kawa na katika marks zangu hakuna kibundi aliye nikaribia.
Ni hayo tuu!!!
wasalaam...