Mliosoma PCM miaka yenu ushauri tafadhali

Mliosoma PCM miaka yenu ushauri tafadhali

mbeya tulikuwa tunapiga tuition Iyunga, mbeya day... na meta sec kwa mwalim shubi.
sometimes tunaomba Loleza japo ya girls lakini kipindi wakiwa likizo tulikuwa tunaruhusiwa.

ebana eh me napgia apa tukuyu day unaipata rungwe boy?
 
Nakumbuka wakati naingia form 5 nikishakata half of physics and math syllabus likizo iliyofuatia nikamaliza syllabus yote ya A level kwa masomo hayo mawili! Ukienda Shule inakuwa n kujisomea na kufanya maswali ktk vitabu
Nilipoingia form 6 nikianza kuwafundisha wenzangu na kufanya past papers by namaliza term ya kwanza ya form six nikishakuwa na uhakika wa A ya physics na math ikabaki chemistry tu! Bahati mbaya chemia sikuwa na muda wa kujiandaa ila am sure ukitumia ujuzi huo utapiga 3 bila wasiwasi
Koma sana ila sio lazima ukeshe panga muda wa masomo na muda wa kuenjoy so unapoamua kuenjoy enjoy kweli kweli ili ukimaliza unasoma kwelikweli

ebana ratiba nimeipenda kaka,asante xna kwa ushauri
 
Kuhudhuria shule, kuwa na nidham nyingi za uoga siyo sababu za kujiamin kuwa unaweza kufaulu!!!!!
Kikubwa apa ni kujitambua na kuwa na ratiba unayo ieshim.
Kwa upande wangu nilipiga pcb na sinaga historia ya kufundishwa na mwalim na nakumbuka nikiwa form six nilishinda shule kwa zaid ya miezi saba mfululizo na mda mwingine nilikuwa na weza kumaliza zaid ya wiki bira kusoma....
Kikubw ni kujiamini tuu..(.................)
Na pepa la mwisho nilichana kama kawa na katika marks zangu hakuna kibundi aliye nikaribia.
Ni hayo tuu!!!
wasalaam...

hongera sana kumbe we ndo yule martin chegere!!
 
kwa advice yangu man komaa na chem na namba coz phy ni proba man lakin uisome angalau ufaulu but masomo ya kuchomokea ni chem na namba arif
PCM boy A k a Young engineer
 
Ebana me nilipga pcm ila chuo nkakimbilia b.com,maana physics sikutaka tena kusikia harufu yake kabisa.
 
ebana eh me napgia apa tukuyu day unaipata rungwe boy?

rungwe napapata mkuu... japo sio mwenyezi wa huko..... mbeya nilikuwa nakuja tu ilu kukukutana na friends zangu wa olevel so ndio sometimes tukawa tunatafuta na tuition ili tusikae bure maana tayari tulikuwa a-level ila shule advance sikusoma huko.
 
rungwe napapata mkuu... japo sio mwenyezi wa huko..... mbeya nilikuwa nakuja tu ilu kukukutana na friends zangu wa olevel so ndio sometimes tukawa tunatafuta na tuition ili tusikae bure maana tayari tulikuwa a-level ila shule advance sikusoma huko.

sawa kaka karibu xna pande hii man
 
nlisoma PCB so si mbali sana na PCM.
Ishu kuwa serious, tafuta vitabu mapema, usimdharau mwalimu hata kama anakosea. Solve maswali mengi kwenye vitabu rudia mara nyingi. Pia usimsahau Mungu.

mi nimepiga pcm ila ninachokushauri achana na ya dunia ili uweze muzic wa pcm
 
Kuhudhuria shule, kuwa na nidham nyingi za uoga siyo sababu za kujiamin kuwa unaweza kufaulu!!!!!
Kikubwa apa ni kujitambua na kuwa na ratiba unayo ieshim.
Kwa upande wangu nilipiga pcb na sinaga historia ya kufundishwa na mwalim na nakumbuka nikiwa form six nilishinda shule kwa zaid ya miezi saba mfululizo na mda mwingine nilikuwa na weza kumaliza zaid ya wiki bira kusoma....
Kikubw ni kujiamini tuu..(.................)
Na pepa la mwisho nilichana kama kawa na katika marks zangu hakuna kibundi aliye nikaribia.
Ni hayo tuu!!!
wasalaam...

Ulisoma shule gani? Ulipata div ngapi
 
Back
Top Bottom