Mliosoma tuition za mchikichini,toa ushaidi humu

hakuna biashara inayolipa zaidi ya ile ya mchikidown, Muddy alikuwa anaingiza si chini ya laki 7 kwa siku....Kuna Mgote, Sir Unga, Mwarami na wengine....walituteka pugu boys kabla ya ujio Wa HM mutabuzi....
Chai
 
Hivi mshikichini bado wanapiga mapindi?
Kitambo sana huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…