Mliosoma umoja sec igunga- mpo?

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
Habari magreat thinkers! Jamani kama kuna magreat thinkers waliosoma umoja sec ningependa tujuane humu jamvini.
 
da. unanikumbusha mbali sana aisee. nilipiga mzigo pale nikiganga ganga njaa. kwa hiyo dogo mambo yako fresh eeh. mwalimu wenu bado nasota na maisha magumu. nirushie hata vocha
 
Shule ka hzi hata hazjulikan,hakuna member humu.
 
da. unanikumbusha mbali sana aisee. nilipiga mzigo pale nikiganga ganga njaa. kwa hiyo dogo mambo yako fresh eeh. mwalimu wenu bado nasota na maisha magumu. nirushie hata vocha

sasa ticha nani sasa?
 
Oya tupo aise pande za simbo pale kati duu kitambo aise.vp we wa mwaka gani pale?
 
Oya tupo aise pande za simbo pale kati duu kitambo aise.vp we wa mwaka gani pale?
dah! Mi mwaka 2011 ndo nimemalza baba na nilikuwa gentle4 na 9.
 
Shule nyingine hata kusoma habari zake humu kwa great thinkers zinatia kichefuchefu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…