Mliotaka kufahamu sura yangu Paulina

Mliotaka kufahamu sura yangu Paulina

wengi mnoo mmekua mkija pm na kusema mnaumia sana hamnijui nipoje wengine mpaka mnatishia kuhama kabisa jamii forum kwa kua naficha sura yangu sasa IPO hivii:
nime amua kuweka picha yangu halisi (AVATAR)
huyo ndyo Mimi PAULINA...
.mtakao ni judge hovyo I DON'T CARE...
Mtoto wako prisca yuko LA ngapi sasa vipi kuhusu Mme wako lugina upo nae au mshaachana
 
mbona haizoomiki au tecno Y6 yangu inazingua
442482.jpg
 
wasiojiamini vile walivyo hawawezi kuweka picha zao halisi
 
wengi mnoo mmekua mkija pm na kusema mnaumia sana hamnijui nipoje wengine mpaka mnatishia kuhama kabisa jamii forum kwa kua naficha sura yangu sasa IPO hivii:
nime amua kuweka picha yangu halisi (AVATAR)
huyo ndyo Mimi PAULINA...
.mtakao ni judge hovyo I DON'T CARE...
Nakuomba PM pliz nina kaugonjwa flani hivi unaweza kunisaidia .
 
Back
Top Bottom