expedition
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 935
- 2,995
Nitoe ombi kwa wale wote walotumia ubinifu wa Dr Shika wajaribu kurudisha sehemu ya walichokipata kwa ajili ya kumsapoti huyu tajiri yetu matata.
Baadhi ya watu hao ni Joti na kava lake la simu, Idrisa na Ebitoke.
Hebu mlio na ukaribu na hawa jamaa jaribu kuwashauri waonee aibuu aisee.
Baadhi ya watu hao ni Joti na kava lake la simu, Idrisa na Ebitoke.
Hebu mlio na ukaribu na hawa jamaa jaribu kuwashauri waonee aibuu aisee.