Mliowahi kuambiwa na wake zenu hamna utu tukutane hapa kupeana mbinu

Mliowahi kuambiwa na wake zenu hamna utu tukutane hapa kupeana mbinu

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu zangu habari..

Ni mara kadhaa sasa mke wangu ananiambia sina utu ila nikimuuliza kwanini ananiambia hivyo hatoimajibu kabisa.

Ndugu zangu kama mnajua ni kwanini naambiwa hivi au mlio wahi kuambiwa hamna utu na wake zenu njoeni hapa tupeane mbinu wakuu
 
Ndugu zangu habari..

Ni mara kadhaa sasa mke wangu ananiambia sina utu ila nikimuuliza kwanini ananiambia hivyo hatoimajibu kabisa.

Ndugu zangu kama mnajua ni kwanini naambiwa hivi au mlio wahi kuambiwa hamna utu na wake zenu njoeni hapa tupeane mbinu wakuu
Mkuu labda unamsukumia mijeledi mbele na nyuma bila huruma!
 
Itakuwa saa unamkulaa labda unakisugua sana mpk anasikia maumivu makali akikwambia ww unajikuta ndio kwanza utamuu kunoga ,ukifika mshindo unakuta mwenzio k inawaka moto ww umesikia rahaa ..

Bac ndio neno una utu linatokea hapo hapo ,jrb kutumia Oliver pale anapokwambia anasikia maumivu..
 
Utu wa mwanaume kwa mke wake ni pale anapokupa shida za nyumbani kwao unazitilia maana ,kinyume na hapo utaonekana huna utu,japo kila ndoa ina kanuni yake ila hata mimi ilitokea vilawama vya hivyo nikasala hadi anilichana kuwa sjali kwao,nilichomjibu kama kusaidia kwenu ndio utu ,kuanzia leo ela tote ya matumizi ntakuwa natuma kwenu alafu wenye utu wawe wanakuhemelea tunakula,mpaka leo sjaskia tena najua atakuja kulipiza uzeeni kama tukifika nae ila kwa sasa familia yangu kwanza.
 
Itakuwa saa unamkulaa labda unakisugua sana mpk anasikia maumivu makali akikwambia ww unajikuta ndio kwanza utamuu kunoga ,ukifika mshindo unakuta mwenzio k inawaka moto ww umesikia rahaa ..

Bac ndio neno una utu linatokea hapo hapo ,jrb kutumia Oliver pale anapokwambia anasikia maumivu..
Mda mwingi anakua kaloa mpaka tunaweka taulo mkuu, japo kuna kipindi anakua kaloa na bado anasema anasikia maomivu na ninamzingatia vyema . Ila hii kauli ananiambia mara kwa mara ndugu yangu.

Pia kunakipindi alininyima nikampotezea alafu baadae anajitumisha txt za kujinyegesha huku ananilaumu kwanini kaninyima na mimi sijamtilia maanani hapo kumbuka sio siku zote akininyima na mkubalia zingine na mkazia
 
Back
Top Bottom