harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Habari za mda huu wanajamvi!
Sina shaka maana na jua kwa rehema za MUNGU mmeamka salama na baadhi tiari mpo makazini kuijenga nchi yetu.
Kwa wale ambao hawapo poa kiafya na kiakili Mungu awatie nguvu na afya mpate kurejea mapema vitani
Kama kichwa cha thread kinavyosema, mliowai kukopa mikopo mikubwa bank na baadae kuirejesha na kutokukopa tena mlitumia mbinu gani?
Binafsi ni mhanga wa hili janga kwa zaidi ya miaka5.
Nilikopa ili kuupa nguvu mtaji wangu uliokua mdogo mwanzoni sikupata tabu kurejesha..tatizo ni kwamba kila mwaka najikuta nashawishika kuongeza ukubwa wa mkopo
Na kwakua dhamana yangu inaruhusu basi ata jamaa wa bank huongeza ushawishi wa kukuongezea
Shida ni kwamba tangu mwaka jana nimeanza kula msoto usiowakawaida.
Mkopo nliokua nao nilirejesha kwa tabu sana,nliapa nikimaliza sintakopa tena,kumbe nlikua najidanganya tu.
Yaan baada ya kumaliza nilikaa bila mkopo kwa miezi miwili tu nikarudi tena kujisalimisha waniokoe.
Hapa nilipo nipo kwenye tabu na mateso ya marejesho yani biashara inavyokua ngumu ndio kabisa naiona siku ya rejesho kama siku ya ukumu.
Imebidi nisimamishe shughuli zingine ili niweze kuinusuru dhamana yangu.
Ukweli ni kwamba mpaka sasa sijakutana na mtu binafsi aliejingiza kwenye mikopo akatoka huko salama,nimeona matajiri wengi wenye mitaji mikubwa lakini mtego wa kujinasua kwenye banio la mabenk limewashinda.
Wengi wao hadi mauti yanawakuta na kuacha benk ikiwadai tena madeni yasiolipika kiraisi.
Vijana wengi wameaga mashindano baada ya kushindwa kurejesha mikopo na dhamana zao kupigwa mnada.
Je wewe uliefanikiwa uliwezaje?
Na nini kinachofanya sisi tushindwe?
Hapa hatuwaongelei wale wanaokopa kwa kutumia salaryslip zao.
Onyo: Wale mliozoea kutoa povu kavulieni nguo hapa sio mahala pake.
Karibuni.
Sina shaka maana na jua kwa rehema za MUNGU mmeamka salama na baadhi tiari mpo makazini kuijenga nchi yetu.
Kwa wale ambao hawapo poa kiafya na kiakili Mungu awatie nguvu na afya mpate kurejea mapema vitani
Kama kichwa cha thread kinavyosema, mliowai kukopa mikopo mikubwa bank na baadae kuirejesha na kutokukopa tena mlitumia mbinu gani?
Binafsi ni mhanga wa hili janga kwa zaidi ya miaka5.
Nilikopa ili kuupa nguvu mtaji wangu uliokua mdogo mwanzoni sikupata tabu kurejesha..tatizo ni kwamba kila mwaka najikuta nashawishika kuongeza ukubwa wa mkopo
Na kwakua dhamana yangu inaruhusu basi ata jamaa wa bank huongeza ushawishi wa kukuongezea
Shida ni kwamba tangu mwaka jana nimeanza kula msoto usiowakawaida.
Mkopo nliokua nao nilirejesha kwa tabu sana,nliapa nikimaliza sintakopa tena,kumbe nlikua najidanganya tu.
Yaan baada ya kumaliza nilikaa bila mkopo kwa miezi miwili tu nikarudi tena kujisalimisha waniokoe.
Hapa nilipo nipo kwenye tabu na mateso ya marejesho yani biashara inavyokua ngumu ndio kabisa naiona siku ya rejesho kama siku ya ukumu.
Imebidi nisimamishe shughuli zingine ili niweze kuinusuru dhamana yangu.
Ukweli ni kwamba mpaka sasa sijakutana na mtu binafsi aliejingiza kwenye mikopo akatoka huko salama,nimeona matajiri wengi wenye mitaji mikubwa lakini mtego wa kujinasua kwenye banio la mabenk limewashinda.
Wengi wao hadi mauti yanawakuta na kuacha benk ikiwadai tena madeni yasiolipika kiraisi.
Vijana wengi wameaga mashindano baada ya kushindwa kurejesha mikopo na dhamana zao kupigwa mnada.
Je wewe uliefanikiwa uliwezaje?
Na nini kinachofanya sisi tushindwe?
Hapa hatuwaongelei wale wanaokopa kwa kutumia salaryslip zao.
Onyo: Wale mliozoea kutoa povu kavulieni nguo hapa sio mahala pake.
Karibuni.