Mliowahi kupigana darasani leteni ushuhuda wenu hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee.
 
Dah nakumbuk shule ya msingi rafiki yangu alikuja na wali kwenye bag tukapanga tuule mchana tukiruhusiw kwenda nyumban ss skuiyo kuna jamaa alikuja na mpira ikabidi tucheze kwanza ili tukimaliza ndo tule ss mech ikaanza lile bag lenye wali tukaliwek pemben kama mnavy jua wali hauna siri kuna waseeeng wakasikia harufu si wakafungua lile bag muda huo soka limebamba kweli majamaa wakaula ule wali kuja kutahamaki tukaona ule mfuko uliokuw na wali unapepea sindio vita ikaanza sasa aisee tulipigana mno skuile kuna jamaa alikuw anaitw atanas matak yako popot pale ulipo ameniweka alama mpak Leo alinipig mno na chuma ya mwamvuli mpak damu ikatoka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kutahamaki mfuko unapepea[emoji1787][emoji1787]

Dah sio poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilkuwa sipendi ugomvi,ila nilikuwa nakodisha vifaa vya ugomvi kwa wenzangu kama mabuti nk.

Ila kilichonikuta kwa dem mmoja kibonge baada ya kupigwa na dogo niliye mkodishia mabuti....
 
Mkuu bila shaka umesoma bungo au mchikichini
 
Daah! Ila we jamaa, eti "lake natron" 😂😂😂
 
Nimekumbuka nilikua na best yangu yeye kuzipiga dk0 tu..alikua anazipanga hadi na wanaume🤣🤣

Kazi yangu ilikua kumshikia viatu na bag 🤣🤣🤣🤣wooiiii
 
Baada ya kumgawia kipigo binti wa darasani alipoleta mambo yasiyo akaenda kushitaki kwa mwalimu wa kiingereza kilichonitokea kilisababisha hadi leo nakichukia kiingereza[emoji6][emoji6]
 
Jiwe😂😂 ngumi ya chuma nadhani😂
 
Yaaani stories za humu😂 mimi kiukweli kabisa mapambano yote ya primary sijawahi kushinda , kila pambano nilikua nadundwa sababu nilikua chembamba afu nilikua karefuu so ilikua rahisi kunikata mtama nikaanguka mzima mzima😂😂
 
Baada ya kumgawia kipigo binti wa darasani alipoleta mambo yasiyo akaenda kushitaki kwa mwalimu wa kiingereza kilichonitokea kilisababisha hadi leo nakichukia kiingereza[emoji6][emoji6]
Ulikula sticks zisizo na idadi eeh😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…