Mliowahi kushonewa seat covers na Safari au Azam Upholstery: Vipi Quality ya seat baada ya miaka 3-5 ipoje?

Mliowahi kushonewa seat covers na Safari au Azam Upholstery: Vipi Quality ya seat baada ya miaka 3-5 ipoje?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Safari na Azam Upholstery ni moja kati ya malegendary wachache hapa Bongo kwenye issue ya seat covers na car's interior decorations.
2022-07-24.jpg

Kazi zao zinavutia sana zikiwa mpya. Sasa nataka mtu mwenye shuhuda baada ya miaka mitatu hadi mitano ya matumizi quality yake inasimamaje?
2022-01-12.jpg

Ukichukulia gharama zao za Mil 3 kwenda juu, lazima ili swala.mtu atleast ujue.
 
Safari na Azam Upholstery ni moja kati ya malegendary wachache hapa Bongo kwenye issue ya seat covers na car's interior decorations.
View attachment 3193053
Kazi zao zinavutia sana zikiwa mpya. Sasa nataka mtu mwenye shuhuda baada ya miaka mitatu hadi mitano ya matumizi quality yake inasimamaje?
View attachment 3193060
Ukichukulia gharama zao za Mil 3 kwenda juu, lazima ili swala.mtu atleast ujue.
Kwa upande wangu naona jamaa wapo vizuri japo ndio kwanza mwaka wa pili
 
Bro ignore ilo pot apo nlitoka kubeba msos home , ila ss tulieka izo za kwd kwa jamaa mmja pale morocco mbele ya safari jamaa anasema yy ni fundi wa hao safari

Apo zimepigwa door panel kam unavoona lakn kuna sehem stiching ni mbovu asa upande wa dashboard zinafumuka

Tang gari ipate ajali nlienda kuangalia tena juzi kati zinajitahid ila rang io km off white inafifia na kuchafuka sna so pia zingatia rangi

View attachment 3193352
Hapa hoja yako ni nini??? Au tuone hotipotifamili?


..Ni Hayo Tu!!
 
Safari na Azam Upholstery ni moja kati ya malegendary wachache hapa Bongo kwenye issue ya seat covers na car's interior decorations.
View attachment 3193053
Kazi zao zinavutia sana zikiwa mpya. Sasa nataka mtu mwenye shuhuda baada ya miaka mitatu hadi mitano ya matumizi quality yake inasimamaje?
View attachment 3193060
Ukichukulia gharama zao za Mil 3 kwenda juu, lazima ili swala.mtu atleast ujue.
Kuna local delers aengi wa seat covers mtaani ambao wapo vizuri huwezi amini,kuna jamaa wapo Bamaga waliniundia seat covers,wakashonea dashboard,milango na roof kwa 750,000 na kazi zao zinafanana tu na hao safari
 
Kuna local delers aengi wa seat covers mtaani ambao wapo vizuri huwezi amini,kuna jamaa wapo Bamaga waliniundia seat covers,wakashonea dashboard,milango na roof kwa 750,000 na kazi zao zinafanana tu na hao safari
wanaitwaje?
 
Back
Top Bottom