Kwa upande wangu naona jamaa wapo vizuri japo ndio kwanza mwaka wa piliSafari na Azam Upholstery ni moja kati ya malegendary wachache hapa Bongo kwenye issue ya seat covers na car's interior decorations.
View attachment 3193053
Kazi zao zinavutia sana zikiwa mpya. Sasa nataka mtu mwenye shuhuda baada ya miaka mitatu hadi mitano ya matumizi quality yake inasimamaje?
View attachment 3193060
Ukichukulia gharama zao za Mil 3 kwenda juu, lazima ili swala.mtu atleast ujue.
Hapa hoja yako ni nini??? Au tuone hotipotifamili?Bro ignore ilo pot apo nlitoka kubeba msos home , ila ss tulieka izo za kwd kwa jamaa mmja pale morocco mbele ya safari jamaa anasema yy ni fundi wa hao safari
Apo zimepigwa door panel kam unavoona lakn kuna sehem stiching ni mbovu asa upande wa dashboard zinafumuka
Tang gari ipate ajali nlienda kuangalia tena juzi kati zinajitahid ila rang io km off white inafifia na kuchafuka sna so pia zingatia rangi
View attachment 3193352
πππ nlikua naonesha stiching tu since sina picha ya ndan zaid ya hioHapa hoja yako ni nini??? Au tuone hotipotifamili?
..Ni Hayo Tu!!
πππ sawa Mkuuπππ nlikua naonesha stiching tu since sina picha ya ndan zaid ya hio
Kuna local delers aengi wa seat covers mtaani ambao wapo vizuri huwezi amini,kuna jamaa wapo Bamaga waliniundia seat covers,wakashonea dashboard,milango na roof kwa 750,000 na kazi zao zinafanana tu na hao safariSafari na Azam Upholstery ni moja kati ya malegendary wachache hapa Bongo kwenye issue ya seat covers na car's interior decorations.
View attachment 3193053
Kazi zao zinavutia sana zikiwa mpya. Sasa nataka mtu mwenye shuhuda baada ya miaka mitatu hadi mitano ya matumizi quality yake inasimamaje?
View attachment 3193060
Ukichukulia gharama zao za Mil 3 kwenda juu, lazima ili swala.mtu atleast ujue.
wanaitwaje?Kuna local delers aengi wa seat covers mtaani ambao wapo vizuri huwezi amini,kuna jamaa wapo Bamaga waliniundia seat covers,wakashonea dashboard,milango na roof kwa 750,000 na kazi zao zinafanana tu na hao safari
Huyu jamaa nmemuona leo kazi zake zinaonekana nzuri , mchekiwanaitwaje?
Jamaa Mzuri sana, Asante bro, ila asije kuwa kanjanja tu maana naona kafunga commentHuyu jamaa nmemuona leo kazi zake zinaonekana nzuri , mcheki
Login β’ Instagram
Welcome back to Instagram. Sign in to check out what your friends, family & interests have been capturing & sharing around the world.www.instagram.com
Cha muhim nenda kajioneeπJamaa Mzuri sana, Asante bro, ila asije kuwa kanjanja tu maana naona kafunga comment