Mliowahi kutongozwa na wanawake njooni mtoe shuhuda

Mliowahi kutongozwa na wanawake njooni mtoe shuhuda

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Za siku nyingi familia yangu, familia ya MMU. Niliwakumbuka sana kwa kweli. Nilipotea kutokana na majukumu mazito ya kifamilia, lakini kwa sasa u-busy umepungua kwa namna moja ama nyingine

Nisiwe msemaji sana, kuna ile situation ya baadhi ya wanaume kutongozwa na watoto wa kike. Kusema kweli mimi sijawahi kuexperience kitu kama hiki. Mliowahi karibuni kwa shuhuda. Waliwaambia wamewapendea nini? Muonekano, mavazi, uzuri, pesa e.tc Hii nchi ina mambo mengi sana ya kustaajabisha.
 
SOFI SITASAHAU SIKU ULIYONIAMBIA UNANIPENDA BILA KUPEPESA MACHO NA LIVEE BILA CHENGA HAKIKA WEWE NI MWANAMKE JASIRI SANA. Ni rahisi jua kuonekana usiku wa manane kuliko mwanamke kukuambia anakupenda.
 
SOFI SITASAHAU SIKU ULIYONIAMBIA UNANIPENDA BILA KUPEPESA MACHO NA LIVEE BILA CHENGA HAKIKA WEWE NI MWANAMKE JASIRI SANA. Ni rahisi jua kuonekana usiku wa manane kuliko mwanamke kukuambia anakupenda.
😂😂Mkuu, mbona unajinong'oneza mwenyewe? Ongezea nyama nyama mkuu. Ilikuaje kuaje?
 
Nimetongozwa na wadada wa kaskazini sana ila ndio vile sina mzuka nao....Mmoja chuo , wengine kama 3 hivi kazini.

Hawa wa kazini wote walitaka niwaoe kwa nyakati tofauti...Sijui tatizo liko wapi?
 
Imenitokea mara kadhaa sababu zao ni.
Unajali sana hustahili kupitia maumivu wakati naekupenda nipo, huyu alikuwa close to me alijua nimevurugana na my wangu akatake advantage, ofcoz alipata alichokitaka ila umbea ukamponza mpaka nikatongozwa na rafiki yake ili ajue kama anayoyasikia kwa shoga ake ni kweli, yaliyomo yamo au hayamo. Hapa nilikuwa maharage ya mbeya kweli kweli.

Mkaka mpole, mstaarabu & usiriazi sana. (sikumzingatia)

Urefu na mpangilio wa mavazi ulimvutia.

Mke wa mtu miaka 8+ imepita hawajafanikiwa kupata mtoto. Ajaribu kuchepukia kwangu kwa mara ya kwanza amechoka manyanyaso😅. Mke wa mtu sumu sitaki kabisa..

Singo maza mnisamehe mi napenda watoto na wananipenda sana, kuna singo mama wa watoto wa3, wanae wananichangamkiaga sana ankali wao, siku moja yule sisteri acha afunguke" ningekuwa sijazaa hawa watoto ningekuchagua wewe uwe baba wa wanangu nikuzalie watoto wazuri au fanya namna wa 4 awe wako😀 nikamwambia ntarudi kama navyosemaga humu kwenye nyuzi za hadithi.

Currently ni urefu na kabila.

Ujana bye bye.
 
Imenitokea mara kadhaa sababu zao ni.
Unajali sana hustahili kupitia maumivu wakati naekupenda nipo, huyu alikuwa close to me alijua nimevurugana na my wangu akatake advantage, ofcoz alipata alichokitaka ila umbea ukamponza mpaka nikatongozwa na rafiki yake ili ajue kama anayoyasikia kwa shoga ake ni kweli, yaliyomo yamo au hayamo. Hapa nilikuwa maharage ya mbeya kweli kweli.

Mkaka mpole, mstaarabu & usiriazi sana. (sikumzingatia)

Urefu na mpangilio wa mavazi ulimvutia.

Mke wa mtu miaka 8+ imepita hawajafanikiwa kupata mtoto. Ajaribu kuchepukia kwangu kwa mara ya kwanza amechoka manyanyaso[emoji28]. Mke wa mtu sumu sitaki kabisa..

Singo maza mnisamehe mi napenda watoto na wananipenda sana, kuna singo mama wa watoto wa3, wanae wananichangamkiaga sana ankali wao, siku moja yule sisteri acha afunguke" ningekuwa sijazaa hawa watoto ningekuchagua wewe uwe baba wa wanangu nikuzalie watoto wazuri au fanya namna wa 4 awe wako[emoji3] nikamwambia ntarudi kama navyosemaga humu kwenye nyuzi za hadithi.

Currently ni urefu na kabila.

Ujana bye bye.
Hehee [emoji41]
 
Za siku nyingi familia yangu, familia ya MMU. Niliwakumbuka sana kwa kweli. Nilipotea kutokana na majukumu mazito ya kifamilia, lakini kwa sasa u-busy umepungua kwa namna moja ama nyingine

Nisiwe msemaji sana, kuna ile situation ya baadhi ya wanaume kutongozwa na watoto wa kike. Kusema kweli mimi sijawahi kuexperience kitu kama hiki. Mliowahi karibuni kwa shuhuda. Waliwaambia wamewapendea nini? Muonekano, mavazi, uzuri, pesa e.tc Hii nchi ina mambo mengi sana ya kustaajabisha.
Ngoja tuje
 
Back
Top Bottom