LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Nilienda Mtwara around January nikakaa kama wiki moja hivi. Nimenogewa nataka likizo yangu ya mwezi wa sita niitumie Mtwara.
Mliowahi kuwa Mtwara ndani ya likizo ya mwezi wa sita nipeni uzoefu tafadhali. Vibe lake huwa linakuwaje kuwaje mtaani?
Jinsia pendwa wa Mtwara chukueni maua yenu. Yani mmefanya sasa hivi kila nikisikia jina Mtwara mnara unapanda.
I love u Mtwara
Mliowahi kuwa Mtwara ndani ya likizo ya mwezi wa sita nipeni uzoefu tafadhali. Vibe lake huwa linakuwaje kuwaje mtaani?
Jinsia pendwa wa Mtwara chukueni maua yenu. Yani mmefanya sasa hivi kila nikisikia jina Mtwara mnara unapanda.
I love u Mtwara