Mliowahi kwenda Mtwara mwezi wa sita nipeni uzoefu. Vibe lake mtaani huwa linakuwaje kuwaje?

Mliowahi kwenda Mtwara mwezi wa sita nipeni uzoefu. Vibe lake mtaani huwa linakuwaje kuwaje?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nilienda Mtwara around January nikakaa kama wiki moja hivi. Nimenogewa nataka likizo yangu ya mwezi wa sita niitumie Mtwara.

Mliowahi kuwa Mtwara ndani ya likizo ya mwezi wa sita nipeni uzoefu tafadhali. Vibe lake huwa linakuwaje kuwaje mtaani?

Jinsia pendwa wa Mtwara chukueni maua yenu. Yani mmefanya sasa hivi kila nikisikia jina Mtwara mnara unapanda.

I love u Mtwara
 
Sana watu wa Mtwara ndio wanajua nini maana ya maisha. Maisha hayataki u serious sana
Mtwara, As far as umeshajua. Starehe basi code zingine zitajifungua, Sheikh mtwara maskani poa sana kwa wapenda chini.
 
Kama unaenda mipakani zingatia muda wa kutembea usiku uliowekwa kwa usalama wako.
Hehehe umenikumbusha enzi hizo cabo delgado pamechangamka then udakwe night kama ulikuwa huna id na barozi na mwenyekiti wakikukana hawakujui inakuwa ndiyo basi tena.
 
Mwezi Januari ulivyoenda mwanzo ulikuwa mwezi dume..mzunguko wa fedha ulikuwa mdogo...mwezi Juni mzunguko wa fedha utaongezeka kutokana na mauzo ya Ufuta hivyo kutakuwa na amsha amsha zaidi.
 
Mimi nilikuwa Ndanda mwezi wa 12! Aisee nilikuwa nasikia tu kelele za ngoma mtaani. Nilipowauliza wenyeji, wakasema mbona hilo ni jambo la kawaida sana baada ya kuvuna korosho!!
 
Umekwenda kujifunzia K matwara basi kila kitu matwara?

hata hapo ulipo pana k geuka nyuma utaziona
Mkuu hii point kuu kabisa uliyoiongea hapa sijui wameiona?!!!

Hivi 'k' zina sehemu yake siku hizi?!!!! Mi naziona kila sehemu. Huko kusikosemwa jana wanawake wamemwambia kabisa mkuu wa mkoa, Yahya Nawanda, awahimize waume zao kutolala ili waongeze watoto. Kuna mkoa ulio mbali kabisa na mtwara zimeripotiwa mimba mia kadhaa za wanafunzi kwa kipindi cha miezi michache tu.
 
Back
Top Bottom