Kudoba wepo baaah
Senior Member
- May 12, 2024
- 155
- 461
Unatoka wapi mkuu?!! Samahani lknMimi nilikuwa Ndanda mwezi wa 12! Aisee nilikuwa nasikia tu kelele za ngoma mtaani. Nilipowauliza wenyeji, wakasema mbona hilo ni jambo la kawaida sana baada ya kuvuna korosho!!