Mlioweza kuiishi sheria hii ya utajiri njooni mnipe mbinu

Mlioweza kuiishi sheria hii ya utajiri njooni mnipe mbinu

 
Hapo inategemea una investment yako na how much you earn
Wenzangu na Mimi unakuta nakusanya elfu tano tano na mradi wangu unataka angalau laki moja so ntaanza kwa ku save ili baadae nije ku invest

[mention]Jane Msowoya [/mention] au tuanzishe kibubu cha kuweka hela
 
Back
Top Bottom