MLIOZALIWA MIAKA YA 90 PUNDE ZAMA YENU ITAPITA IJE KWA VIJANA WA 2000😊

MLIOZALIWA MIAKA YA 90 PUNDE ZAMA YENU ITAPITA IJE KWA VIJANA WA 2000😊

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
MLIOZALIWA MIAKA YA 90 PUNDE ZAMA YENU ITAPITA IJE KWA VIJANA WA 2000😊

Ni ukweli mchungu ila utumike kama chachu ya kutuamsha na kuelewa kuwa sasa ni zamu yetu TUSILALE

MLIOZALIWA MIAKA YA 90( 1990s) TUONE NGUVU ZENU SASA KWENYE JAMII KABLA ZAMU YA VIJANA WA 2000s HAIJAINUKA 😊

Mtu mdogo aliyezaliwa miaka ya 90 ana miaka 26 huyu kazaliwa 1999 huo umri tayari ni wa kuanza majukumu maana kama ni shule kikawaida imeisha kwa hatua ya msingi ( Shahada) hivyo sio umri wa kujiona tena mtoto


Maisha yana zama na kwa uzoefu ukiangalia waliozaliwa miaka ya 80 mtu mkubwa ana miaka 45 umri ambao tayari kama ni serikalini msongo wa kustaafu taratibu unaanza na baada ya miaka 15 ataachia ofisi hivyo VIJANA WA MIAKA YA 90 HII NI ZAMU YETU KUONEKANA KWENYE JAMII KATIKA UKUBWA WA KUBADILISHA MATOKEO.


Muda si mrefu vijana wa miaka ya 2000 wataingia kwenye zamu yao na kikawaida ikiwa ni zamu yao basi kutakuwa na ugumu mkubwa kwenye ushindani na wewe ambaye zama yako imepita , KILA MTU HUNG'AA KWENYE ZAMA YAKE.


TUFANYE NINI? Tuelewe kuwa hii ni zamu yetu hivyo mapambano yasipungue kasi .


KILA KHERI KWENYE MWAKA 2025


KHERI YA MWAKA MPYA 2025

Mwanasayansi Saul kalivubha
#Mitandaoni fikia ndoto zako
 
Warren Buffet tajiri mkubwa duniani, founder wa KFC amejipata akiwa na miaka 60.

Hii ni dhahiri kabisa kwamba usijipe too much pressure, work hard work smart mtangulize Mungu kwa kila jambo..

All in all happy NY 2025
 
Warren Buffet tajiri mkubwa duniani, founder wa KFC amejipata akiwa na miaka 60.

Hii ni dhahiri kabisa kwamba usijipe too much pressure, work hard work smart mtangulize Mungu kwa kila jambo..

All in all happy NY 2025
Asante sana kwa kutupa mfano wenye faraja, japo mwanzilishi wa KFC anaitwa Colonel Sandars
 
MLIOZALIWA MIAKA YA 90 PUNDE ZAMA YENU ITAPITA IJE KWA VIJANA WA 2000😊

Ni ukweli mchungu ila utumike kama chachu ya kutuamsha na kuelewa kuwa sasa ni zamu yetu TUSILALE

MLIOZALIWA MIAKA YA 90( 1990s) TUONE NGUVU ZENU SASA KWENYE JAMII KABLA ZAMU YA VIJANA WA 2000s HAIJAINUKA 😊

Mtu mdogo aliyezaliwa miaka ya 90 ana miaka 26 huyu kazaliwa 1999 huo umri tayari ni wa kuanza majukumu maana kama ni shule kikawaida imeisha kwa hatua ya msingi ( Shahada) hivyo sio umri wa kujiona tena mtoto


Maisha yana zama na kwa uzoefu ukiangalia waliozaliwa miaka ya 80 mtu mkubwa ana miaka 45 umri ambao tayari kama ni serikalini msongo wa kustaafu taratibu unaanza na baada ya miaka 15 ataachia ofisi hivyo VIJANA WA MIAKA YA 90 HII NI ZAMU YETU KUONEKANA KWENYE JAMII KATIKA UKUBWA WA KUBADILISHA MATOKEO.


Muda si mrefu vijana wa miaka ya 2000 wataingia kwenye zamu yao na kikawaida ikiwa ni zamu yao basi kutakuwa na ugumu mkubwa kwenye ushindani na wewe ambaye zama yako imepita , KILA MTU HUNG'AA KWENYE ZAMA YAKE.


TUFANYE NINI? Tuelewe kuwa hii ni zamu yetu hivyo mapambano yasipungue kasi .


KILA KHERI KWENYE MWAKA 2025


KHERI YA MWAKA MPYA 2025

Mwanasayansi Saul kalivubha
#Mitandaoni fikia ndoto zako
Dah, kuna mtu juzi kanisalimia, shikamoo brother, alafu nikimcheki yuko around 26-27, nikajibu tu maraha safi
Nikajua sasa kweli sio kijana tena
 
Back
Top Bottom