Uchaguzi 2020 Mlipopanga kususa mlijadili haya? Mmejitakia catche 22!

Uchaguzi 2020 Mlipopanga kususa mlijadili haya? Mmejitakia catche 22!

Mleta mada hiyo namba 7 umechemka inaonekana una kichwa kigumu kuelewa...Ina maana hujui kuwa wapinzani waliondolewa kugombea sasa wangeshiriki vipi uchaguzi wakati hawana wagombea??
 
kama sio ujinga ulionao kichwani uliosababishwa na elimu ndogo, basi angalia hiyo njaa inayokuchakata tumboni isije ikakuua.

1. Uwezo wa serikali kupuuza madai yenu na kuendelea na uchaguzi?

2. Wagombea wenu kugoma kujitoa kwa kuwa uongozi ndio unawapa kipato kama ambavyo wabunge mnavyotegemea fedha za ubunge?

3. Kuna uchaguzi mkuu karibuni na itakuwa kichekesho kushiriki wakati mmesusia wa local government?

4. Kusalitiana wenyewe? Tayari CUF kasepa! Mlilishana yamini? Hivi kina nanii wakiitwa chemba wataacha kurubuniwa ilhali vyama ni wao na wao ndio vyama?

5. Kwamba hamna ubavu WA kupambana na dola? Kweli mnaamini mnaweza kulaumiwa? Sio kwamba mtabondwa?

6. Hamkukumbuka wengi wenu mna kesi za kujitakia na ni wavunjaji Sheria mliokubuhu? Iweje kiongozi mkuu alilala ndani miezi 3 Kwa kudharau mahakama na nyie mrudie kosa lile lile huku mmesusa uchaguzi? Sasa mkikaa ndani wote nani atasababisha ile "msilaumiwe"?

7. Hivi hamjui dunia inadharau wanaokimbia uchaguzi? Bora ushiriki halafu udai umeonewa kuliko kukimbia sanduku la kura halafu upayuke "TUSILAUMIANE"!! Wazungu hawapendi japo mnadhani watawasaidia. Hata shuleni unafanya mtihani ndio unalalamika kuna WALIOPEWA majibu kabla!

Mlikurupuka! Bora mngeendelea na ule msimamo wa kuwa ilikuwa ujinga kususia! Sasa mtagombana na watu wenu itakapofika zamu ya ubunge na msisuse. Watu wenu watagoma kujitoa na Serikali haitawapa mtakacho.
Kifaransa hii inaitwa CATCHE 22!!!

Je suis désolé, notre opposition est extrêmement stupide!!!
 
Yes, ndiyo maana CCM wanatumia njia mbalimbali kuubaliza uchaguzii huu ila inashindikana - Justification inakuwa ni ngumu mno, yaani ni sawa na ugali wa familia nzima wakususie wewe peke yako !! lazima utakula huku ukikabwa kabwa na matonge huku ukitumla mimacho kushoto na kulia.
 
CCM wahuni tu mimi sikuona haja yakuwanyima fomu wapinzani

Mbona miaka ingine walikuwa hawakosei kipindi cha kikwete

Fomu sio mtihani mtu akikosea anaweza kujaza upya ndio hata wanafunzi wanaojaza fomu za mikopo wakikosea majina yao yanatolewa wanajaza upya

Hata bengi watu wakikosea kujaza fomu yakuweka au kutoa pesa wanarudia

Binadamu si malaika
Hata wewe ulieandika hapa unamapungufu tu mengi

CCM WAMEFANYA UHUNI TU kwenye uchaguzi
Kama hamtaki upinzani futeni

Hata mkibaki pekeyenu mtauana tu ndio maana Jiwe alisema walimuwekea sumu sio hao hao CCM
 
Umesema kweli Mkuu, hakuna wapinzani wa kweli. Hata tukiwachagua wanarudi chama tawala kuunga mkono juhudi za muheshiwa
Sasa si ndio hapa mkuu
mfano kumpa Lowasa kugombea urais mtu waliyemtuhumu ufisadi kwa miaka 10 lilikuwa kosa kubwa sana
 
1. Uwezo wa serikali kupuuza madai yenu na kuendelea na uchaguzi?

2. Wagombea wenu kugoma kujitoa kwa kuwa uongozi ndio unawapa kipato kama ambavyo wabunge mnavyotegemea fedha za ubunge?

3. Kuna uchaguzi mkuu karibuni na itakuwa kichekesho kushiriki wakati mmesusia wa local government?

4. Kusalitiana wenyewe? Tayari CUF kasepa! Mlilishana yamini? Hivi kina nanii wakiitwa chemba wataacha kurubuniwa ilhali vyama ni wao na wao ndio vyama?

5. Kwamba hamna ubavu WA kupambana na dola? Kweli mnaamini mnaweza kulaumiwa? Sio kwamba mtabondwa?

6. Hamkukumbuka wengi wenu mna kesi za kujitakia na ni wavunjaji Sheria mliokubuhu? Iweje kiongozi mkuu alilala ndani miezi 3 Kwa kudharau mahakama na nyie mrudie kosa lile lile huku mmesusa uchaguzi? Sasa mkikaa ndani wote nani atasababisha ile "msilaumiwe"?

7. Hivi hamjui dunia inadharau wanaokimbia uchaguzi? Bora ushiriki halafu udai umeonewa kuliko kukimbia sanduku la kura halafu upayuke "TUSILAUMIANE"!! Wazungu hawapendi japo mnadhani watawasaidia. Hata shuleni unafanya mtihani ndio unalalamika kuna WALIOPEWA majibu kabla!

Mlikurupuka! Bora mngeendelea na ule msimamo wa kuwa ilikuwa ujinga kususia! Sasa mtagombana na watu wenu itakapofika zamu ya ubunge na msisuse. Watu wenu watagoma kujitoa na Serikali haitawapa mtakacho.
Kifaransa hii inaitwa CATCHE 22!!!

Je suis désolé, notre opposition est extrêmement stupide!!!

Kama hujali kabisa kwa wao kujitoa,then why kinakuuma sana wao kujitoa?

Yanini unaumia sana wao kujitoa?

Dawa imekuingia ndio maana!

Wewe endelea na uchaguzi,hii makelele yote ni kwamba hii punch imeingia vya kutosha!

Subiri next episode!

Nyie mnacheza drafti wakati Ukawa inacheza chess!

Msidhani wenye akili ni nyie tu!Kua na serikali hakuwafanyi ukilaza wenu usionekane!
 
Hahahaaaaa, hivi inakuaje kuwashwa awashwe mwenzio, halafu wewe jirani yake ndio ujikune?
 
Chadema kususia uchaguzi ni pigo kubwa kwa wasaka tonge wa CCM. Nawahurumia sana vjna wa uvccm.
 
Back
Top Bottom