Mlipuko kwenye gari Israel waua watatu ikidaiwa ni Iran

Mlipuko kwenye gari Israel waua watatu ikidaiwa ni Iran

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Vyombo vya habari vya Israel vinachambua hili kuwa hii huenda ni mauaji ya kisiasa na ya kulipa kisasi. Inadaiwa ni Iran keshafanya yake.

BREAKING

3 Israelis died in a car explosion in Ashkelon, Israeli media talks about assassination

Iran imekua na majasusi wengi sana ndani ya mifumo ya Israel hadi jeshini, mnamkumbuka yule waziri wa Israel ambaye alikua ni pandikizi la Iran kwa miaka 20?

Hii sio mara ya kwanza kwa Iran kudaiwa kuwassasinate viongozi wa Israel washawaua viongozi kadhaa wa mossad mara kadhaa kwa milipuko ya aina hii.


20240611_171223.jpg
 
W
Vyombo vya habari vya Israel vinachambua hili kuwa hii huenda ni mauaji ya kisiasa na ya kulipa kisasi. Inadaiwa ni Iran keshafanya yake.

BREAKING

3 Israelis died in a car explosion in Ashkelon, Israeli media talks about assassination

Iran imekua na majasusi wengi sana ndani ya mifumo ya Israel hadi jeshini, mnamkumbuka yule waziri wa Israel ambaye alikua ni pandikizi la Iran kwa miaka 20?

Hii sio mara ya kwanza kwa Iran kudaiwa kuwassasinate viongozi wa Israel washawaua viongozi kadhaa wa mossad mara kadhaa kwa milipuko ya aina hii.


Wametegeshee Netanyahu
 
Wanasiasa hukwepa kuuana wao,sababu mwenzio nae atalupiza tu
 
Vyombo vya habari vya Israel vinachambua hili kuwa hii huenda ni mauaji ya kisiasa na ya kulipa kisasi. Inadaiwa ni Iran keshafanya yake.

BREAKING

3 Israelis died in a car explosion in Ashkelon, Israeli media talks about assassination

Iran imekua na majasusi wengi sana ndani ya mifumo ya Israel hadi jeshini, mnamkumbuka yule waziri wa Israel ambaye alikua ni pandikizi la Iran kwa miaka 20?

Hii sio mara ya kwanza kwa Iran kudaiwa kuwassasinate viongozi wa Israel washawaua viongozi kadhaa wa mossad mara kadhaa kwa milipuko ya aina hii.


Iran hapo inahusika nini Gari la Kichina la umeme kulipuka ni asilimia nyingi... Iran ni mbwa mbele ya chatu kwa Israel... unatafuta sifa za kijinga tu kuwa Muislam ni hasara kwa Dunia akili za utumwa wa Allah
 
Iran hapo inahusika nini Gari la Kichina la umeme kulipuka ni asilimia nyingi... Iran ni mbwa mbele ya chatu kwa Israel... unatafuta sifa za kijinga tu kuwa Muislam ni hasara kwa Dunia akili za utumwa wa Allah
Hawa jamaa hawana akili kabisa sijui madrasa wanajifunzaga nini?
 
Back
Top Bottom