Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Habari wanajamvi?
Kuna habari zinadai kuna mlipuko wa moto maeneo ya Songas Somanga. Inadaiwa wafanyakazi wote wamekimbia eneo hilo. Inadaiwa kuna mungurumo mkubwa unaosikika zaidi ya kilomita 10 kutoka kituo hicho. Tunaomba walio karibu na kituo hicho maeneo ya Somanga na Njia nne mutujuze zaidi hali ikoje hapo
Kuna habari zinadai kuna mlipuko wa moto maeneo ya Songas Somanga. Inadaiwa wafanyakazi wote wamekimbia eneo hilo. Inadaiwa kuna mungurumo mkubwa unaosikika zaidi ya kilomita 10 kutoka kituo hicho. Tunaomba walio karibu na kituo hicho maeneo ya Somanga na Njia nne mutujuze zaidi hali ikoje hapo