Soka Ndio Maisha Yangu
Member
- Nov 27, 2024
- 43
- 127
Mlikuwa mnatamba sana hadi mkamkufuru mungu kWa kuomba mechi na shetani, aisee nyie watu wabaya sana, kama sio kutoa sadaka kWa watoto yatima huko Lubumbashi mlikuwa mmeshagawa utamu malayi nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haiwezi tokea ndo kwanza anaweka mambo sawa na anapitaYanga washaaga hapa akuna cha ziada.Yanga hii iliyojaa wagonjwa,wazee na walevi aina uwezo wa kufuzu kwenda robo.
Yanga akipita uniite Amdala bichwa ndevu.haiwezi tokea ndo kwanza anaweka mambo sawa na anapita
Oya wako kimya km sio wao! kweli hawana bando?Washapita huoni wanaongoza kundi