Mlisema siyo kokoro sasa Mavoko amekuwa kokoro

WCB wanajua soko la kimataifa linahitaji nini ndo maana wanatuaua
Kokoro itafika mbali kuliko nyimbo zote zilitoka hivi karibuni msigo unasimamiwa na Universal Music Group
 
Watu wengi hawajui kuwa WCB wanatoa nyimbo kwa kuangalia target ni wapi,ndio maana Kokoro hawaipi sana promo home kwavile huu mzigo unasimamiwa na wajuzi wa hizi kazi (UMG) kimataifa, na ndio hata malengo ya wimbo marry you ya MOND na NE YO inachezwa mbele sio bongo.
 
Ngoja waje watasema na hizo redio stations amenunua maana huyu simba ni hatari ye ananunua kila kitu#wazee wa manunuzi
 
Haibadilishi kuwa video ya kokoro haina maadili. Unaposifia kitu kinachoharibu maadili ya mtanzania na udhalilishaji wa mwanamke kwa kigezo cha soko si uungwana.
**Hili sio jambo la kuigwa kwa wasanii
Basata waliifungia na kumpa onyo snura na Ney wa mitego.
 
Home video haipigwi kwasababu za kimaadili
 
Nyimbo imekaa kimbele zaidi inastahil
 
Maadili ya Mtanzania ndio yakoje?

Wale wanawake kwenye hiyo video walilazimishwa?

Kwa nini wanawake wenyewe walioigiza sijasikia wakilalamika kuzalilishwa?

Na kwa nini wanaolalamika video haina maadili wengi ni wanaume?
 
Hivi Maadili manaake nini?
 
washanunua na BBC pumbavvv! 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…