ha ha aaahaaaaaaaDarassa ??
Stupid very stupid ukitaka maadili jifungie kwako zuia utandawazi maadili bongo mnaupokea utandawazi impact yake mnaikataa very stupidHaibadilishi kuwa video ya kokoro haina maadili. Unaposifia kitu kinachoharibu maadili ya mtanzania na udhalilishaji wa mwanamke kwa kigezo cha soko si uungwana.
**Hili sio jambo la kuigwa kwa wasanii
Basata waliifungia na kumpa onyo snura na Ney wa mitego.
Ww mwenyewe kila siku unajikunja Ku angalia porno unataka maadili ganiHaibadilishi kuwa video ya kokoro haina maadili. Unaposifia kitu kinachoharibu maadili ya mtanzania na udhalilishaji wa mwanamke kwa kigezo cha soko si uungwana.
**Hili sio jambo la kuigwa kwa wasanii
Basata waliifungia na kumpa onyo snura na Ney wa mitego.
Hilo neno "tusua" mbona limekaa ki kike kike silipendi kama ni neno la madada bora kutolitumiaEndelea kuota hivo hivo wenzio wanatusua
Umewahi kufika mbele.... Huko zinapigwa nyimbo za kwenye billboard top 100 tu.. Jipeni moyo.. Neyo shoga tuuWatu wengi hawajui kuwa WCB wanatoa nyimbo kwa kuangalia target ni wapi,ndio maana Kokoro hawaipi sana promo home kwavile huu mzigo unasimamiwa na wajuzi wa hizi kazi (UMG) kimataifa, na ndio hata malengo ya wimbo marry you ya MOND na NE YO inachezwa mbele sio bongo.
Naona wamefanikiwa kuzinunua radio hizo teh teh...Wcb...... Watu na nyota zao
Wivu ukizidi unageuka kuwa mchawi sasaTeam ujanja Ujanja
Poor uUmewahi kufika mbele.... Huko zinapigwa nyimbo za kwenye billboard top 100 tu.. Jipeni moyo.. Neyo shoga tuu
Ukimaliza sumu iliyopo mwilini mwako dhidi ya huyu mtu, nakuongezea sumu nyingine hii hapa,sitaki sumu ikupungue.(Kama nakuona jinsi unavyotaka kujinyonga.)Umewahi kufika mbele.... Huko zinapigwa nyimbo za kwenye billboard top 100 tu.. Jipeni moyo.. Neyo shoga tuu
Wasipige tu,maana tayari tunayo.Home video haipigwi kwasababu za kimaadili