Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nafikiri wanasiasa ndio wachafu, siasa peke yake haina lengo baya .Siasa ni chafu duh
Huyo gavana bado yupo ofisini?Mshikaji anaitwa Bruce John Chawa. Ni blogger maarufu kama chawa 001.
Ilikuwa 12th September, 2024. Unaambiwa watu kama 20 walikuja kumteka. Majirani walivyotoka jamaa wakadai wao ni polisi.
Unaweza ukamsikiliza zaidi katika hii video.
Namuonea huruma, ukweli hakika unauwa. Kumbe na haya mambo Kenya yapo.Mshikaji anaitwa Bruce John Chawa. Ni blogger maarufu kama chawa 001.
Ilikuwa 12th September, 2024. Unaambiwa watu kama 20 walikuja kumteka. Majirani walivyotoka jamaa wakadai wao ni polisi.
Unaweza ukamsikiliza zaidi katika hii video.
Enzi za Kenyatta mkubwa, Moi, Kibaki, Kenyatta Jr, hadi Ruto.Oooh kenya sasa ndio wanaongoza tangu enzi za kenyata
Na bado kuna maswali mengi ya kujiuliza.Hii issue ilitokea wiki imepita
Na huyu inasemekana alikuwa anamtukana sana huyo gov na familia
Ila mbona anavyohojiwa kama alienjoy hicho kitendo kufanyiwa
Ova
Ohoooo usiombe yakukute mkuuAnaongea kama punga mbn
Ova
Huyo dogo kafanyiwa umafiaOhoooo usiombe yakukute mkuu