Mlitamba nae, Mlijivunia nae, mkafurahia Mashuti yake na Kumfananisha na Chama mbona leo mmemchoka?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Simba SC haijawahi Kumkosa Mchezaji yoyote mkubwa Afrika hii na ukiona haimtaki jua huyo Mchezaji ana Majeraha au hana Kiwango cha Kuwazidi walioko.

Simba SC waliachana nae mapema tu baada ya Kudokezwa na Mtu kutoka Kwao Burkinafaso na Wakala aishie Ufaransa na Afrika Kusini kuwa hakuna Mchezaji hapo, wa Kawaida sana tu halafu ni Prone Injury, ila kwa Ushamba wenu na Dharau mkatuona hatuna Akili wakati kumbe Simba SC ndiyo Baba Lao kwa Usajili.

Hizi kelele zenu Redioni na Runingani kuwa Mburkinafaso Wenu kuwa si Kitu na Anabahatisha tu Kiuchezaji nendeni mkamwambie Rais wenu muongo muongo na siyo Sisi Wadau na wenye Kuujua vyema Mpira ( hasa huu wa Tanzania ) sawa?

Na lile Goti lake haponi ng'o Kudadadeki zenu kwani Mafia kutoka upande wa Pili wameshafanya yao ili Kumpunguza Kasi na Miguvu yake isiyo na Faida.

Imeisha hiyo........
 
Hao mafia WA upande wa pili hawana akili, maana Kwa maelezo yako walishapewa taarifa kutoka Kwa wakala na mtu wa Burkina Faso kuwa mchezaji ni wakawaida, sasa kwanini tena wahangaike kumpunguza Kasi?

Narudia tena hao mafia WA upande wa pili hawana akili..
 
Ana mechi zake za kubahatisha yule, mpaka tena ifike siku hiyo ..
 
Simba SC haijawahi Kumkosa Mchezaji yoyote mkubwa Afrika hii na ukiona haimtaki jua huyo Mchezaji ana Majeraha au hana Kiwango cha Kuwazidi walioko....
imagine mburkinabe hachezi, fei hayupo wananchi wanabeba ubingwa wa ligi na kucheza fainali ya shirikisho na akina mzize na ambundo, KWA SISI AKINA MAKOLO INAUMA SANA IYO.
 
Mnashangilia kutetereka kidogo kwa Aziz ki lakini ndio mpira huo, kwenye mpira kuna mambo mengi sana na auwezi kuwa sawa siku zote kwa 100%, pamoja na yote Aziz ki atarudi kwenye ubora wake tena siku si nyingi wekeni akiba ya maneno, Na yanga kwa sasa iko timamu kila idara aimtegemei mchezaji mmoja, wako kitimu zaidi ndio maana awapati shida yoyote inapotokea mchezaji mmoja ameshuka kiwango au amepata matatizo, ni tofauti na timu yako akikosekana chama mnaanza kufanya maombi kumzidi ata mwamposa muambulie ata sare kwenye mechi husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…