Mliyoiona filamu ya "Leave The World Behind Movie", njooni tuichambue

Mliyoiona filamu ya "Leave The World Behind Movie", njooni tuichambue

Kwani ina part 2?

Movie Yako imeniacha na maswali mengi kuliko majibu. Vipi hatma ya Rose baada ya kupoteana na familia yake?

Na yule Archie, why ni yeye peke yake aliyeexperience madhara ya zile sauti?
Weka hayo maswali?mi napenda unichambulie bana
Kwanza umeipenda?
Part two bado
 
Hiyo movie inahusishwa sana na tukio litakaloikumba dunia siku si nyingi sana likihusisha
[emoji117]kukatika kwa umeme,
[emoji117] kutokupata mtandao
[emoji117] na vurugu za wenyewe kwa wenyewe zitazotokana na hizo sababu mbili tajwa hapo juu

Hili tukio litadhibitisha pia ni namna gani dunia ipo controlled na hawa jamaa wa World Orders
Kama ambavyo waliamua corona ije na iondoke kama upepo, kama walivoamua vita vya Urusi na Ukraine na pia kama walivyoamua vita vya israel na Hamas

Lets wait and see
Bullshit.
 
Nilioona hii mwaka jana December, yaani mwezi mzima hii movie ilikuwa imekaa kichwani
Picha linaanza meli imepotea njia
1706229232202.png


The crazy part ilikuwa zile Tesla zinavovyo enda kukutana kwenye same highway
1706228713184.png


Hii scene mpaka Elon Musk alimaindi kuona gari zake zinakejeliwa
1706228973650.png

Halafu na zile ndege zote zinakwenda ku crah sehemu moja...

1706229536594.png


Halafu yule doomsday prepper(Kevin Bacon) alivyokuwa mnyama....

1706229676745.png

Hapa kuelewa kuhusu Koreans, unatakiwa ujue Lazarus Group ni kina nani?

Muda sio mrefu Lazarus walipita na JF, baada ya kutaja jina lao,
1706230118239.png
 
Hiyo movie inahusishwa sana na tukio litakaloikumba dunia siku si nyingi sana likihusisha
[emoji117]kukatika kwa umeme,
[emoji117] kutokupata mtandao
[emoji117] na vurugu za wenyewe kwa wenyewe zitazotokana na hizo sababu mbili tajwa hapo juu

Hili tukio litadhibitisha pia ni namna gani dunia ipo controlled na hawa jamaa wa World Orders
Kama ambavyo waliamua corona ije na iondoke kama upepo, kama walivoamua vita vya Urusi na Ukraine na pia kama walivyoamua vita vya israel na Hamas

Lets wait and see
We call them the elites,hawa ndio wale wakuu wa dunia,wakaao siti moja na lucifer kuamua mustakabali mzima wa dunia,hawa wanaamua nani awe rais wa mataifa yetu nani awe tajiri namba moja wa dunia kwa muda husika,mara nyingi huwa ni memba wa familia tajiri zaidi duniani kama the rockerfellers,na kina rothschilds etc
 
Nini sababu ya matukio hayo?
Mbona yule dogo alingoka meno?
Mbona ndege zinaanguka hovyo?
Ile noise inatoka wapi?
Wale wanyama mbona walikua wanakusanyika?
Yule dogo wa kike alipoenda kule je kitakuja kumtokea nini?

Kuna code nyingi sana
 
Back
Top Bottom