Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Yani nikianza tu kuangalia naboreka sana afu pia nachoka sana napata bonge la usingiziKip kinakuzuia unatamani ila unashindwa kuanza kupenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nikianza tu kuangalia naboreka sana afu pia nachoka sana napata bonge la usingiziKip kinakuzuia unatamani ila unashindwa kuanza kupenda?
Basi apo haupend wala hautamani kuangalia movie .Yani nikianza tu kuangalia naboreka sana afu pia nachoka sana napata bonge la usingizi
Movie imeisha as if kuna muendelezo. Maana imeacha maswali mengi ambayo hayajajibiwaUnipe mrejesho tu sawa
Kwani ina part 2?Umeona ilivyo na code?
Haya nisimulie huku tukisubiri Part 2
Weka hayo maswali?mi napenda unichambulie banaKwani ina part 2?
Movie Yako imeniacha na maswali mengi kuliko majibu. Vipi hatma ya Rose baada ya kupoteana na familia yake?
Na yule Archie, why ni yeye peke yake aliyeexperience madhara ya zile sauti?
Yeah kisa chake ni kizuri, ila wameboa kwenye hii part 1 kuacha maswali mengi kuliko majibu.Weka hayo maswali?mi napenda unichambulie bana
Kwanza umeipenda?
Part two bado
Bullshit.Hiyo movie inahusishwa sana na tukio litakaloikumba dunia siku si nyingi sana likihusisha
[emoji117]kukatika kwa umeme,
[emoji117] kutokupata mtandao
[emoji117] na vurugu za wenyewe kwa wenyewe zitazotokana na hizo sababu mbili tajwa hapo juu
Hili tukio litadhibitisha pia ni namna gani dunia ipo controlled na hawa jamaa wa World Orders
Kama ambavyo waliamua corona ije na iondoke kama upepo, kama walivoamua vita vya Urusi na Ukraine na pia kama walivyoamua vita vya israel na Hamas
Lets wait and see
Part 2? Imekuwa Bongo movie?Umeona ilivyo na code?
Haya nisimulie huku tukisubiri Part 2
Nilioona hii mwaka jana December, yaani mwezi mzima hii movie ilikuwa imekaa kichwani
Kuanzia plot hadi inavoishia nimepata Raha sana sema ilivyoishia lazima tupewe sehemu ya 2 yake pale maana imeishia huku nikisikitika sana 😭😭Umeelewaje?
We call them the elites,hawa ndio wale wakuu wa dunia,wakaao siti moja na lucifer kuamua mustakabali mzima wa dunia,hawa wanaamua nani awe rais wa mataifa yetu nani awe tajiri namba moja wa dunia kwa muda husika,mara nyingi huwa ni memba wa familia tajiri zaidi duniani kama the rockerfellers,na kina rothschilds etcHiyo movie inahusishwa sana na tukio litakaloikumba dunia siku si nyingi sana likihusisha
[emoji117]kukatika kwa umeme,
[emoji117] kutokupata mtandao
[emoji117] na vurugu za wenyewe kwa wenyewe zitazotokana na hizo sababu mbili tajwa hapo juu
Hili tukio litadhibitisha pia ni namna gani dunia ipo controlled na hawa jamaa wa World Orders
Kama ambavyo waliamua corona ije na iondoke kama upepo, kama walivoamua vita vya Urusi na Ukraine na pia kama walivyoamua vita vya israel na Hamas
Lets wait and see
Maswali yapi?
Nini sababu ya matukio hayo?
Mbona yule dogo alingoka meno?
Mbona ndege zinaanguka hovyo?
Ile noise inatoka wapi?
Wale wanyama mbona walikua wanakusanyika?
Yule dogo wa kike alipoenda kule je kitakuja kumtokea nini?