MAMESHO
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,432
- 1,738
Habari za leo ndugu wapendwa.
Ni kwa muda sasa nimekuwa na mazoea ya kula vyakula kama jamii yetu ilivyozoea. Asubuhi chai na maandazi, mikate au chapati, mchana ugali, jioni wali na vitu vingine.
Nimepata mtazamo tofauti ambao naona umenisaidia jana baada ya kuandaa mchanganyiko ufuatao.
Karoti 2
Tango 1
Ndizi mbivu
Tangawizi kidogo
Nyanya 1
Karanga. Nusu glass Zichemshwe.
Katakata vidogo vidogo. Tangawizi ikwaruze changanya kwenye bakuli moja. Mlo mzuri sana wa jioni. Kula kabla ya saa mbili usiku.
Nimeamka vizuri sana asubuhi bila uchovu. Nilipata usingizi mzuri sana.
Nimeshare hapa maana najua kuna watu itawasaidia kiafya lakini pia ni gharama nafuu.
Lakini pia inabebeka kwa urahisi kukuoatia lunch ya mchana ofisini.
Unaweza kuitengeneza popote hata ukiwa safarini.
Siku njema. Kaa na afya njema
Ni kwa muda sasa nimekuwa na mazoea ya kula vyakula kama jamii yetu ilivyozoea. Asubuhi chai na maandazi, mikate au chapati, mchana ugali, jioni wali na vitu vingine.
Nimepata mtazamo tofauti ambao naona umenisaidia jana baada ya kuandaa mchanganyiko ufuatao.
Karoti 2
Tango 1
Ndizi mbivu
Tangawizi kidogo
Nyanya 1
Karanga. Nusu glass Zichemshwe.
Katakata vidogo vidogo. Tangawizi ikwaruze changanya kwenye bakuli moja. Mlo mzuri sana wa jioni. Kula kabla ya saa mbili usiku.
Nimeamka vizuri sana asubuhi bila uchovu. Nilipata usingizi mzuri sana.
Nimeshare hapa maana najua kuna watu itawasaidia kiafya lakini pia ni gharama nafuu.
Lakini pia inabebeka kwa urahisi kukuoatia lunch ya mchana ofisini.
Unaweza kuitengeneza popote hata ukiwa safarini.
Siku njema. Kaa na afya njema