Mlo wa wiki (Health Diet)

Mihogo kaondoka nayo Dokta. Hata ungeitaka ungeipatia wapi??

Mi natia timu next month.... ole wako nikukose.

Tafadhali next month isije kuwa ni baada ya uchaguzi.........njoo mapema ili tujue hii mambo........
 

Mfano mi nakaa Sitimbi, bacon napata wapi? (Itabidi niwaambie wanirostie mbuzi katoliki nusu kilo mixer mchicha) nshaharibu diet
Protein powder nanunua wapi kwa mfano???
Bajeti ya kuunga nå manati ntamudu kununua matunda kama strawbery,almond hapo bado sijaweka gharama za olive oil.

Mi naona hii ya wa kishua
 
Last edited by a moderator:

Tena bei ya almond kilo 2 unanunua Nissan March ........
 
Samahani dada Yummie.......
Bacon na almond ni nini?
Niwekee hata tupicha nivijue
 
Last edited by a moderator:
Hebu ngoja kwanza......
Hii inanihusu na mimi wa huku Yaeda au ni nyie wa mjini tu...........

Da Preta umemaliza! Kuna maeneo hakuna supermarket kununua hayo mavitu. But kwa Jf sishangai ndo maisha yalivyo.
 
Baada ya wiki utakuwa urojo kabisa. Hakuna staple food hapo. Sio balanced diet. Hauli vyakula vya kukupa energy utakuwaje fit?
 
Zaidi ni kwa wanaopunguza uzito. But you can add potatoes and rice if you just want to stay health not to loose weight

Okaaay, hapo sasa nimeelewa kumbe ni kwa vibonge wanaotafuta uportable!
 
Hebu ngoja kwanza......
Hii inanihusu na mimi wa huku Yaeda au ni nyie wa mjini tu...........
yaeda supu ulimi,kongoro supu utumbo inahusu,usisahau makanyagio ya kuku kwa lunch,sambusa za viazi kwa dinner na utumbo wa kuku.
 
menu ya watoto wa masaki.
mkipewa ugali na mboga uji wa chumvi si mtajiua nyie?namkumbuka baba wa taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…