Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa


Si mbaya ila ukifanikiwa basi uwe tayari kuwa waenda baharini kila mwiho wa wiki kupunga upepo 🙂🙂

Wahindi kama wahindi yaani baniani na hindu ni ngumu sana.

Ila wahindi walochanganya kama wa kabila la Goa wako uzuri maana hata makanisani wapo.

Lakini wahindi wa kabila la baniani (wenye alama nyekundu usoni) na hindu hata kama yupo na wewe ni kwenye biashara na fedha na si vinginevyo maana hawa huoana wao kwa wao.

Au la umekwama kabisa, basi toka na uingine kwa wale waburishi ambao wako uzuri na huwa twajichanganya nao na uwaweza kutia neno.

Yote tisa, kumi wahindi angalia kwanza wazazi wa binti ndio watakuwa kielelezo cha binti yao.
 
Assalaam Alleykum
 
Wamisri ndio wazuri kidunia na sio wahindi.
 
Wasomali nao vipi jamani,maana huwa nawakubali Sana mimi
Wapo vizuri baadhi yao ukipata bahati.. Mi nafikiria nikaopoe mtoto hata hapo karibu mana wamekuwa majirani zetu nafikiri nitapata pumziko
 
From personal experience.... Sio watamu... Hawana joto.... Hawana shape... Wanachoka haraka ... Wana kaharufu fulani hivi hasa kwenye nywele.... Ila kinachowabeba ni rangi
Dah njemba alikula mzigo akakinai
 
mmmhhh!! inaonekana una uzoefu nao sana,ngoja wahindi wa jf waje hapa
Nimeish sana maeneo ya uhindin iringa na mbeya plus mishe mishe nying maeneo ya posta hapa town najichanganya nao sana..ila sio kihivyo unavyofikiria ww mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…