Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Mkuu ukipata wa Kizungu, njoo nikushauri......
 
Hakuna kituo!!! sijaelewa.
 
Ndg zake watakuchukia sana na wanaweza kukutumia watu wasiojulikana wakupoteze. Jamaa yangu alioa Muhindi mateso aliyokua anayapata nilijuta kuja kuoa mhindi.Pia ujiandae kuitwa GOLO na ndg zake. Mamake akiwatembelea anaingia hadi chumbani kwenu bila kubisha hodi anakuja kuongea na mwanae. Kazi zote za ndani ujue utafanya wewe na muda wote uwe na pesa kwa ajili ya kununua vyakula, viungo vya vyakula, mavazi nk.
 
Naona Mkuu una hamu na kuishi south Pole, tropics hutaki ?
 
kule ukichukua demu wa kihindi, nasikia inakua noma,au ni story tu
 
aisee, mwisho wake ikawaje
 
Mmhh basi bora hata uniambie waethiopia nitakuelewa ila siyo wamisri kuhusu rekodi za dunia hizo mbona zinatofautiana mwaka hadi mwaka ndo maana nikasema labda useme kuwa huo ni mtazamo wako maana uzuri wa mtu upo machoni pa mtazamaji
 
Wadau tupeane connections maana Wahindi nao waonaga mimi ni mabibi tu, mabinti nawajua wa kwenye movie tu sijawahi waona,
yule mtoto Deepika Padukone daaah
Sasa kwani Deepika Padukone ni binti? Bora hata uniambie Alia Bhatt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…