chura ina kazi gani wakati wa kunaniiiii
Iyo avatar ni mhindi?
Ni kwa nini wana k baridi ?Wa baridi kma ice cube
Kwani uliingia chumvini?Wabaridi na wanakiarufu flani hivi cha asili kinabore kichizi
Kwani uliingia chumvini?
Mkuu ukipata wa Kizungu, njoo nikushauri......Bravo maselaa,machalii na masistaa wa humu...
Niende kwenye mada
Katika watu waliotakiwa tuwe tumechanganya damu nao kisawasawa ni wahindi na wana miaka mingi tu hapa Tz ila cha ajabu idadi ya ndoa kati ya waafrika na wahindi ni chache mno ukinganisha na jamii nyingine mfano waarab
Ok sasa mlowahi kuwaoa,kudate au hata mahusiano na hawa wasichana hebu tiririkeni wakoje tuanze kujua mapema maana mzee wa totoz kuna mmoja nimemzimikia balaa nataka niingie kwake mzima mzima mtoto mashallah balaa...ila mlowahi kudate nao piteni hapa mtuambie wakoje
Wahindi watu wa kutenga binti yao akiolewa na ngozi nyeusi na pia wanaume wao awapendi wengi wao kua wanawake weusi tofauti na waarabu wanakula sana madem weusi ila wanawake wa kiarabu nao ni ngumu kutema na wanaume weusi labda wawe wazazi wao washawai kuchanganya na taifa moja mzungu au muafrica
Hiyo ndio record ya dunia ilivyo mamangu, hao wahindi wengi tunawaona kwenye movies wametafutwa wale ambao wako afadhali tu lakini wengi wana sura, maumbo na harufu mbayaa.Nadhani kila mtu na mtazamo wake tu!
kule ukichukua demu wa kihindi, nasikia inakua noma,au ni story tuHiyo ndio record ya dunia ilivyo mamangu, hao wahindi wengi tunawaona kwenye movies wametafutwa wale ambao wako afadhali tu lakini wengi wana sura, maumbo na harufu mbayaa.
Mie nimekaa India, yaani hata kwa mangumi siwezi kuoa muhindi aisee, never!!!
aisee, mwisho wake ikawajeNdg zake watakuchukia sana na wanaweza kukutumia watu wasiojulikana wakupoteze. Jamaa yangu alioa Muhindi mateso aliyokua anayapata nilijuta kuja kuoa mhindi.Pia ujiandae kuitwa GOLO na ndg zake. Mamake akiwatembelea anaingia hadi chumbani kwenu bila kubisha hodi anakuja kuongea na mwanae. Kazi zote za ndani ujue utafanya wewe na muda wote uwe na pesa kwa ajili ya kununua vyakula, viungo vya vyakula, mavazi nk.
mmmhhh!!!Wadau tupeane connections maana Wahindi nao waonaga mimi ni mabibi tu, mabinti nawajua wa kwenye movie tu sijawahi waona,
yule mtoto Deepika Padukone daaah
Mmhh basi bora hata uniambie waethiopia nitakuelewa ila siyo wamisri kuhusu rekodi za dunia hizo mbona zinatofautiana mwaka hadi mwaka ndo maana nikasema labda useme kuwa huo ni mtazamo wako maana uzuri wa mtu upo machoni pa mtazamajiHiyo ndio record ya dunia ilivyo mamangu, hao wahindi wengi tunawaona kwenye movies wametafutwa wale ambao wako afadhali tu lakini wengi wana sura, maumbo na harufu mbayaa.
Mie nimekaa India, yaani hata kwa mangumi siwezi kuoa muhindi aisee, never!!!
Sasa kwani Deepika Padukone ni binti? Bora hata uniambie Alia Bhatt.Wadau tupeane connections maana Wahindi nao waonaga mimi ni mabibi tu, mabinti nawajua wa kwenye movie tu sijawahi waona,
yule mtoto Deepika Padukone daaah
nakazia jijini Manchester kuoga ni jinai kama kuvuta bangi.
Movie itakuwa ya zamaniSasa kwani Deepika Padukone ni binti? Bora hata uniambie Alia Bhatt.