Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Mie nimetafuna demi wa kihindi na nimrkula papuchi ya kiarabu pia..

Jamii hizi ni watu wabaguzi kweli kweli!!

Ngozi zao zimepoa kama huyu mwarabu ndio ilikuwa kabisa, ngozi barid kimtindo, ila uwongo mbaya alikuwa ni mtamu kuliko muhindi, kimahaba mtoto wa kiarabu alimzidi wa kihindi.
Utamu wao unawafikia wadada wa kiafrica?
 
Kipindi kile cha kitafuta marafiki kwenye gazeti nikatuma namba Yangu kwenye gazeti la majira.

Mungu si Athumani jioni ya siku ambayo gazeti limetoka nikapigiwa simu na binti akajitambulisha anaitwa Shainur Sumra nikamuuliza ,wewe ni mwarabu akasema hapana Bali ni Muhindi aliyezaliwa Tanga na hata huko India hapajui.Na yeye alipoona jina langu akadhani Mimi ni mhindi ila nilipomwambia Mimi ni mbena tena wa Njombe huku.

Dah nikaona zali tukachati baadae tukaingia kwenye mahusiano bila kuonana huku nikivuta taswira ya mrembo amazing .

Siku ya kuonana sitoisahau maana tulikutana posta pale J.M.MALL kuna casino inaitwa Le grand . Nilitamani muda uende ili tuachane kila mtu aende zake maana mtoto wa kike ana kitambi hata Mzee Kilomoni wa Simba ana afadhali.

Alipoondoka tu nilimblock na sikumuhitaji mpaka Leo sijui alinichukuliaje lakini yeye alikuwa anapiga hesabu za ndoa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
From personal experience.... Sio watamu... Hawana joto.... Hawana shape... Wanachoka haraka ... Wana kaharufu fulani hivi hasa kwenye nywele.... Ila kinachowabeba ni rangi
Hadi wewe Mganga wa kienyeji umekamua mhindi! 🙂
 
Mkuu kama kwako uzuri wa mwanamke ni chura basi sikushauri uwaoe hao ila kama kwako uzuri wa mwanamke ni sura basi hao ndo wanakufaa maana wahindi kama ni sura tu wengi wamejaaliwa

Hamna wanawake dunia hii wanaowafikia wanawake wa kihindi kwa uzuri wa sura na nywele za asili ila kwenye chura hapo nisiwe muongo hawana kitu na hapo ndipo ule msemo wa kuwa Mungu hakupi kila kitu unapokamilika but they are very beautiful mashaallah kama huyo hapo kwenye avatar yangu
Wewe unajua Dunia???? au unaongelea dunia yako.
 
Waethiopia labda kwa Africa lakini si kwa dunia. Anyway, nikubaliane nawe kuwa uzuri wa mtu upo kwa macho ya mtazamaji.

Ila wahindi kwa mimi niloishi nao, hapana kwakweli.
Sasa kwani wamisri siyo waafrica mkuu?
 
Hiyo ndio record ya dunia ilivyo mamangu, hao wahindi wengi tunawaona kwenye movies wametafutwa wale ambao wako afadhali tu lakini wengi wana sura, maumbo na harufu mbayaa.

Mie nimekaa India, yaani hata kwa mangumi siwezi kuoa muhindi aisee, never!!!
Wachafu hatari . Nimeishi delhi na haryana 5 years nawajua kila kitu . Hawa jamaa ni waajabu ndio maana paka leo watu wanaiita ile nchi " incredible india" wametawaliwa na wazungu hundreds of years lakini hawana kitu waliadapt .
 
Nimetembea ofcourse lakini naelewa kuwa mwisho wa siku kila mtu ana mtazamo wake maana uzuri wa mtu upo machoni pa mtazamaji
Ukitembea mabara mengine utagundua ulichoandika siyo sawa.
 
Lazima ulimpata makaburini
Ndio makaburi ya kuchoma
Walikuja kuzika mfu wao
Badala ya kufanza kazi yao
Wang'aa macho kwa nyapu
Ukaibuka na kitu mashalaah
Ukafaidi uhundo wa kidosi
Ukaonja ladha ya papuchi
Ndio! Papuchi ya Kihindi
Ukabaini ukosi wa ladhaye
Ukamisi joto la Kibantu
Ukahisi na kujutia nguvu
Nguvu uzotumia kumpata
Oooh! Pole ndo masaibu
Masaibu ya dunia yetu
Kutamani mbari tofauti
Mbari ingine ya kidosi
Hongera Mshana Jr
Umenifunua macho
Wajua hoja za wabongo
Kama sijafanya: nimesikia

Bazazi
Hahaha we jamaa umeandika shairi
 
Ndg zake watakuchukia sana na wanaweza kukutumia watu wasiojulikana wakupoteze. Jamaa yangu alioa Muhindi mateso aliyokua anayapata nilijuta kuja kuoa mhindi.Pia ujiandae kuitwa GOLO na ndg zake. Mamake akiwatembelea anaingia hadi chumbani kwenu bila kubisha hodi anakuja kuongea na mwanae. Kazi zote za ndani ujue utafanya wewe na muda wote uwe na pesa kwa ajili ya kununua vyakula, viungo vya vyakula, mavazi nk.
Daaah aisee
 
Back
Top Bottom