Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

Hawana hata mzuka. Wabaridi mno wengi wanadai hivyo. Wanawezana wao kwa wao tu.
Kitu waarabu tu.
 
Niliskia wadada wa kihindi wanachungwa sana na mabraza/makaka zao. Huwezi kumuoa huyo mdada kama kaka zake hawajakukubali. Ni kama unawaoa hao makaka unaweza kusema. Kwa makaka nao kuoa ni hivohivo lazima ndugu wote waridhie. Ukikomaa uondoke na huyo mdada/mkaka wanamtenga mazima.
 
Hivi chura huwa inasaidia nini?
Huu ndo utamu wa chura
tapatalk_gif_1564488039427.gif
 
Niliskia wadada wa kihindi wanachungwa sana na mabraza/makaka zao. Huwezi kumuoa huyo mdada kama kaka zake hawajakukubali. Ni kama unawaoa hao makaka unaweza kusema. Kwa makaka nao kuoa ni hivohivo lazima ndugu wote waridhie. Ukikomaa uondoke na huyo mdada/mkaka wanamtenga mazima.
Aisee
 
Ukienda Mewat mpaka watoto wanaugua magonjwa ya ngozi kutokana na uchafu na harufu mbaya.

Halafu ukiwaangalia wahindi (wanawake) karibia wote wana mapungufu katika maumbile na wale tunaowaona kwenye movies ni wachache ambao ndiyo wengi huwachukulia wao kama ndio kipimio cha wahindi.

Aisee kwa upande wangu siko tayari kuoa muhindi hata kwa bakora.
Wachafu hatari . Nimeishi delhi na haryana 5 years nawajua kila kitu . Hawa jamaa ni waajabu ndio maana paka leo watu wanaiita ile nchi " incredible india" wametawaliwa na wazungu hundreds of years lakini hawana kitu waliadapt .
 
Kipindi kile cha kitafuta marafiki kwenye gazeti nikatuma namba Yangu kwenye gazeti la majira.

Mungu si Athumani jioni ya siku ambayo gazeti limetoka nikapigiwa simu na binti akajitambulisha anaitwa Shainur Sumra nikamuuliza ,wewe ni mwarabu akasema hapana Bali ni Muhindi aliyezaliwa Tanga na hata huko India hapajui.Na yeye alipoona jina langu akadhani Mimi ni mhindi ila nilipomwambia Mimi ni mbena tena wa Njombe huku.

Dah nikaona zali tukachati baadae tukaingia kwenye mahusiano bila kuonana huku nikivuta taswira ya mrembo amazing .

Siku ya kuonana sitoisahau maana tulikutana posta pale J.M.MALL kuna casino inaitwa Le grand . Nilitamani muda uende ili tuachane kila mtu aende zake maana mtoto wa kike ana kitambi hata Mzee Kilomoni wa Simba ana afadhali.

Alipoondoka tu nilimblock na sikumuhitaji mpaka Leo sijui alinichukuliaje lakini yeye alikuwa anapiga hesabu za ndoa.
Hahahaha hapo kweli ulipatikana eti Kama mzee kilomoni
 
Ukienda Mewat mpaka watoto wanaugua magonjwa ya ngozi kutokana na uchafu na harufu mbaya.

Halafu ukiwaangalia wahindi (wanawake) karibia wote wana mapungufu katika maumbile na wale tunaowaona kwenye movies ni wachache ambao ndiyo wengi huwachukulia wao kama ndio kipimio cha wahindi.

Aisee kwa upande wangu siko tayari kuoa muhindi hata kwa bakora.
nasikia hata wale wa kwenye movies asilimia kubwa wamejiedit miili(yani baadhi wamefanya opereshen kurekebisha maungo yao). kwenye suala la uchafu pia nakuunga mkono, sehemu kubwa ya wahindi ni wachafu wachafu, nilisoma makala moja huko interior india ukitaka kuoa inatakiwa uonyeshe choo maana kule vyoo ni vya shida wengine wanajisaidia vichakani
 
Mie nimetafuna demi wa kihindi na nimrkula papuchi ya kiarabu pia..

Jamii hizi ni watu wabaguzi kweli kweli!!

Ngozi zao zimepoa kama huyu mwarabu ndio ilikuwa kabisa, ngozi barid kimtindo, ila uwongo mbaya alikuwa ni mtamu kuliko muhindi, kimahaba mtoto wa kiarabu alimzidi wa kihindi.
Waarabu angalau wanavumilika kuliko wahindi hawafai hata kurumagia.
 
Heheh!

Duh,yaani wanawake wa kihindi ndio wanawake waliojaaliwa sura nzuri kuliko wote juu ya uso wa dunia???

Kweli kila macho huona vya kwake...

...maana wahindi kama ni sura tu wengi wamejaaliwa

Hamna wanawake dunia hii wanaowafikia wanawake wa kihindi kwa uzuri wa sura na nywele za asili...
 
Back
Top Bottom