Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Uniachaga hoi sana😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vipi uncle ?
Hivi unapenda star gani?manake huwa nakuona unasambaza hate tu 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uniachaga hoi sana😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vipi uncle ?
Team Diamond Platnumz &Floyd Mayweather.Uniachaga hoi sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unapenda star gani?manake huwa nakuona unasambaza hate tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wivu tu [emoji23]Hance Mtanashati kwanini unachukiwa sana na wadau
Ngoja nijichungulie nitakujibu.Una jinsia ipi?
RelaxKama hii kazi unayofanya hulipwi basi utakua na matatizo ya akili. Maana ni kazi ya kujiaibisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Relax mkuu.Huyo demu mnapiga kelele ana hela ana hela hela gani acheni zenu nyinyi,Huko Italy katoka familia ya kikimbizi waarabu wa Moroko.
Kazi anayoendaga kufanya huko anajua mwenyewe
Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba mmakonde na Sarah wamwagana ila mmakonde anaona aibu kukiri waziwazi kwa kuhofia kuchekwa na watu.
Kwa kifupi mmakonde bila Sarah si lolote wala si chochote ukapuku umemjaa siku zote anavimba mjini kwa kutegemea kuhongwa na Sarah .
Na bado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa akili hizi ndo ulikuwa unanyanyua mdomo kule kwenye trigi... Aisee una vituko sana.Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba mmakonde na Sarah wamwagana ila mmakonde anaona aibu kukiri waziwazi kwa kuhofia kuchekwa na watu.
Kwa kifupi mmakonde bila Sarah si lolote wala si chochote ukapuku umemjaa siku zote anavimba mjini kwa kutegemea kuhongwa na Sarah .
Na bado [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]