Mmakonde sasa Rasmi EA Radio/Tv

Mmakonde sasa Rasmi EA Radio/Tv

herman joshua

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
1,967
Reaction score
3,212
Ni mda sasa toka mmakonde atoke WCB na kuanza harakati zake za kimuziki akijitegemea
Alikuwa ameshaweka mambo yake sawa na media mbalimbali ambazo hawakuwa na mahusiano mazuri baina ya lebo iliyokuwa ikimmiliki na hizo media.

Alianza na clouds, E Fm na sasa rasmi Ea Radio na Tv zimeanza kupiga kazi zake

Je inaweza msogeza mbele zaidi katika mziki wake kutokana na support atayoipata..?
Screenshot_2020-02-28-06-41-45-1.png
 
Mbona huu uzi hauna sabusikiriba wengi?? itakua hii siridi sio ofisho
 
Ni mda sasa toka mmakonde atoke WCB na kuanza harakati zake za kimuziki akijitegemea
Alikuwa ameshaweka mambo yake sawa na media mbalimbali ambazo hawakuwa na mahusiano mazuri baina ya lebo iliyokuwa ikimmiliki na hizo media.

Alianza na clouds, E Fm na sasa rasmi Ea Radio na Tv zimeanza kupiga kazi zake

Je inaweza msogeza mbele zaidi katika mziki wake kutokana na support atayoipata..?
View attachment 1371246
Zembela yupo wapi Kwan sasa? Oyaaaaa yupo WCB bob

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wala hainistui 😳 😳 wengi hatunaga muda wa tv kabisa sikuhizi ukiachana na kucheki taarifa ya habari na mpira, Mambo yote ya mziki nayamalizia kwenye internet, Kwangu Youtube na instagram ndio vimekuwa vyombo vyangu vya habari za burudani,
 
wala hainistui 😳 😳 wengi hatunaga muda wa tv kabisa sikuhizi ukiachana na kucheki taarifa ya habari na mpira, Mambo yote ya mziki nayamalizia kwenye internet, Kwangu Youtube na instagram ndio vimekuwa vyombo vyangu vya habari za burudani,
okay
kwa uzuri umesema ww.. ss wengine bando ni shida ko kuzikiliza radio ni 24/7,
 
Back
Top Bottom