Mmarekani adumu na Imani yake licha ya nyumba yake kuungua nakubaki majivu

Mmarekani adumu na Imani yake licha ya nyumba yake kuungua nakubaki majivu

MBYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2020
Posts
366
Reaction score
521
Majanga ya asili ni Jambo la kawaida katika ulimwengu wetu,sisi kama binadamu tunapaswa kukubaliana na matokeo pale inapo bidi,huyu ni mama shupavu ambaye amebaki na moyo mkuu licha ya Masahibu yaliyomkuta

 
Tunaeshimu iman yake lkn ichi yake inausika kutoeka kwa aman ktk nchi zengine wenzie sio majanga ya asili ni Wajeda wao wanaleta majanga ya kulazimoisha ni sawa awe mkakamavu na iman yake kama wenzie walivokuwa wakakamavu.
 
Lakini wamarekani wanasambaza uchafu dunia nzima na wanafosi wengine wafanye uchafu.sasa ukisikia Mama wa machukuzo ndiyo Marekani yenyewe.
Usiwe na upande mmoja tu wa lawama,wamarekani ni watu wema sana,wamewatunza Babu zetu mpaka Leo wapo, Wale Babu zetu walioenda uarabuni walichinjiliwa mbali wamarekani ndo waliokuletea hata hiyo smartphone unayowatukana nayo,wamarekani niwatu wanaotetea uhuru,ona baada ya wamarekani, kuondoka Afghanstani wanawake wanateswa na Sheria za kiislam hakuna sehemu wanalazimisha watu kuwa mashoga shida yao ni kwamba wanasema mtu akiamua kuwa shoga mwacheni awe shoga hiyo ni hiari yake na SI kuwafanya wasio mashoga kuwa mashoga labda hapo ndo tunabishana nao
 
Hao waliyatimba October 7 acha wayanywe
Tunaeshimu iman yake lkn ichi yake inausika kutoeka kwa aman ktk nchi zengine wenzie sio majanga ya asili ni Wajeda wao wanaleta majanga ya kulazimoisha ni sawa awe mkakamavu na iman yake kama wenzie walivokuwa wakakamavu.
 
Zwazwa wewe usiona uovu WA Hamas ila unaona upvu wa Israel tu,yaani kwako wewe waisrael hawana haki ya Kuishi ila waarabi ndo wanahaki yakuishi hizi ni akili za madrasa hakuna kwingine
Unajua uswazwa ni Uzoba uzoba mimi sijawai sikia au kuona Madrasa wamenunulishwa udongo au kuona mipichapicha ya kudai mtu alikuwa mlemavu sijui ashiki mimba hooooooo mke wangu anipi mbunye lkn toka nimefika apa kwanabiiii OOO nasema mbunye napewa asifieeeeeee utapeli tapeli kama huu unawazunguka mazwazwa kama ww akuna madrasa ya kitapeli tapeli. Nimekuuliza vita imeanza 7 octb vita yao sasaivi inamiaka 50+ wanauwana tu iyo 7octb nimuendelezo jomba na vita uwa inasimama tu lkn ipo wkt wowote kinawaka tunachoshangaa IDF kuuwa watoto na kima mama lkn Hamas kufa nisawa ndio mana wapo pale vitani kama awataki kufa wangeondoka apo kwenye vita
 
Zwazwa wewe usiona uovu WA Hamas ila unaona upvu wa Israel tu,yaani kwako wewe waisrael hawana haki ya Kuishi ila waarabi ndo wanahaki yakuishi hizi ni akili za madrasa hakuna kwingine
Mgogoro wa Israel na Palestina haukuanza October 7 bali ilikuwa ni muendelezo tu wa mgogoro na sidhani kama utaisha bali utakuwa una tulia miaka kadhaa alafu unalipuka tena.
 
Unajua uswazwa ni Uzoba uzoba mimi sijawai sikia au kuona Madrasa wamenunulishwa udongo au kuona mipichapicha ya kudai mtu alikuwa mlemavu sijui ashiki mimba hooooooo mke wangu anipi mbunye lkn toka nimefika apa kwanabiiii OOO nasema mbunye napewa asifieeeeeee utapeli tapeli kama huu unawazunguka mazwazwa kama ww akuna madrasa ya kitapeli tapeli. Nimekuuliza vita imeanza 7 octb vita yao sasaivi inamiaka 50+ wanauwana tu iyo 7octb nimuendelezo jomba na vita uwa inasimama tu lkn ipo wkt wowote kinawaka tunachoshangaa IDF kuuwa watoto na kima mama lkn Hamas kufa nisawa ndio mana wapo pale vitani kama awataki kufa wangeondoka apo kwenye vita
Labda nikuulize swali, baada ya umoja wa mataifa kuigawanya Palestine na kupewa wayahudi ardhi na kuundwa kwa taifa la Israel nani alikuwa wa kwanza kumshamulia mwenzie????
 
Usiwe na upande mmoja tu wa lawama,wamarekani ni watu wema sana,wamewatunza Babu zetu mpaka Leo wapo, Wale Babu zetu walioenda uarabuni walichinjiliwa mbali wamarekani ndo waliokuletea hata hiyo smartphone unayowatukana nayo,wamarekani niwatu wanaotetea uhuru,ona baada ya wamarekani, kuondoka Afghanstani wanawake wanateswa na Sheria za kiislam hakuna sehemu wanalazimisha watu kuwa mashoga shida yao ni kwamba wanasema mtu akiamua kuwa shoga mwacheni awe shoga hiyo ni hiari yake na SI kuwafanya wasio mashoga kuwa mashoga labda hapo ndo tunabishana nao
Mkuu ukivaa nguo nyeupe sana elewa neno nyeupe then ichafuliwe ama na tone moja tu la damu je nguo nzima itakuwa safi? je utaendelea kuivaa au utabadirisha na kuvaa nyingine?

Jibu utabadirisha otherwise uitwe mchafu kwa tone moja tu damu! Hivyo hivyo na usa pamoja na mzuri yake yote kusapot ushoga kwa mabilioni ya dola inatosha kabisa kumchafua na ataendelea kuchafuka hadi pale atakapo kubali kubadiri hiyo nguo ama aifue kabisa hadi itakate ndo aivae tena!!

Hilo ni la ushoga tu vipi likiongezeka tone jingine la kinyesi cha ndege kwenye hiyo shati jeupe utaendelea kuivaa?
Usa akiendelea kufadhiri mablioni ya dola na silaha ili watu wakauliwe hasa watoto wasiokuwa na hatia ni uchafu unastahili kusafishwa kwa gharama zote Bahati mbaya sana kuna uchafu mwingine hata usafishe vipi kwenye nguo nyeupe lazima baka la uchafu huo hubaki .,.......Tafakari
 
Mgogoro wa Israel na Palestina haukuanza October 7 bali ilikuwa ni muendelezo tu wa mgogoro na sidhani kama utaisha bali utakuwa una tulia miaka kadhaa alafu unalipuka tena.
Sawa Hilo linajulikana ili nilikuwa nazungumzia kilicho trigger kinachoendelea
Mkuu ukivaa nguo nyeupe sana elewa neno nyeupe then ichafuliwe ama na tone moja tu la damu je nguo nzima itakuwa safi? je utaendelea kuivaa au utabadirisha na kuvaa nyingine?

Jibu utabadirisha otherwise uitwe mchafu kwa tone moja tu damu! Hivyo hivyo na usa pamoja na mzuri yake yote kusapot ushoga kwa mabilioni ya dola inatosha kabisa kumchafua na ataendelea kuchafuka hadi pale atakapo kubali kubadiri hiyo nguo ama aifue kabisa hadi itakate ndo aivae tena!!

Hilo ni la ushoga tu vipi likiongezeka tone jingine la kinyesi cha ndege kwenye hiyo shati jeupe utaendelea kuivaa?
Usa akiendelea kufadhiri mablioni ya dola na silaha ili watu wakauliwe hasa watoto wasiokuwa na hatia ni uchafu unastahili kusafishwa kwa gharama zote Bahati mbaya sana kuna uchafu mwingine hata usafishe vipi kwenye nguo nyeupe lazima baka la uchafu huo hubaki .,.......Tafakari
Hapo ni akili Yako ya udini imechafuka na siyo USA ndo maana Dunia nzima inamuhitaji hata maadui zake wanatamani wapatane naye we umechafukwa tu
 
Mgogoro wa Israel na Palestina haukuanza October 7 bali ilikuwa ni muendelezo tu wa mgogoro na sidhani kama utaisha bali utakuwa una tulia miaka kadhaa alafu unalipuka tena.
Sawa Hilo linajulikana ili nilikuwa nazungumzia kilicho trigger kinachoendelea
Mkuu ukivaa nguo nyeupe sana elewa neno nyeupe then ichafuliwe ama na tone moja tu la damu je nguo nzima itakuwa safi? je utaendelea kuivaa au utabadirisha na kuvaa nyingine?

Jibu utabadirisha otherwise uitwe mchafu kwa tone moja tu damu! Hivyo hivyo na usa pamoja na mzuri yake yote kusapot ushoga kwa mabilioni ya dola inatosha kabisa kumchafua na ataendelea kuchafuka hadi pale atakapo kubali kubadiri hiyo nguo ama aifue kabisa hadi itakate ndo aivae tena!!

Hilo ni la ushoga tu vipi likiongezeka tone jingine la kinyesi cha ndege kwenye hiyo shati jeupe utaendelea kuivaa?
Usa akiendelea kufadhiri mablioni ya dola na silaha ili watu wakauliwe hasa watoto wasiokuwa na hatia ni uchafu unastahili kusafishwa kwa gharama zote Bahati mbaya sana kuna uchafu mwingine hata usafishe vipi kwenye nguo nyeupe lazima baka la uchafu huo hubaki .,.......Tafakari
Hapo ni akili Yako ya udini imechafuka na siyo USA ndo maana Dunia nzima inamuhitaji hata maadui zake wanatamani wapatane naye we umechafukwa tu
 
Sawa Hilo linajulikana ili nilikuwa nazungumzia kilicho trigger kinachoendelea

Hapo ni akili Yako ya udini imechafuka na siyo USA ndo maana Dunia nzima inamuhitaji hata maadui zake wanatamani wapatane naye we umechafukwa tu
Dini yangu ni Roman cathoric Tangu kuzaliwa ndoa hadi sasa. Jibu nilichouliza kama una hoja kama upo hapa kishabaki sema pia ili uendelee na ushabiki na wengine..

Kuna msabato alikuwa maarufu sana kusadia watu kuapa misaada hasa wasio jiweza...... alikuja kukamatwa ugoni mazuri yake yaliishia hapohapo.Hata wewe mtu uliye mwamini kwa miaka 10 ukija kumfuma hata anatembea na binti wako tu je utaendelea kumwamini tena?
 
Unajua uswazwa ni Uzoba uzoba mimi sijawai sikia au kuona Madrasa wamenunulishwa udongo au kuona mipichapicha ya kudai mtu alikuwa mlemavu sijui ashiki mimba hooooooo mke wangu anipi mbunye lkn toka nimefika apa kwanabiiii OOO nasema mbunye napewa asifieeeeeee utapeli tapeli kama huu unawazunguka mazwazwa kama ww akuna madrasa ya kitapeli tapeli. Nimekuuliza vita imeanza 7 octb vita yao sasaivi inamiaka 50+ wanauwana tu iyo 7octb nimuendelezo jomba na vita uwa inasimama tu lkn ipo wkt wowote kinawaka tunachoshangaa IDF kuuwa watoto na kima mama lkn Hamas kufa nisawa ndio mana wapo pale vitani kama awataki kufa wangeondoka apo kwenye vita
Huna lolote zaidi ya ubaguzi wa kidini
Dini yangu ni Roman cathoric Tangu kuzaliwa ndoa hadi sasa. Jibu nilichouliza kama una hoja kama upo hapa kishabaki sema pia ili uendelee na ushabiki na wengine..

Kuna msabato alikuwa maarufu sana kusadia watu kuapa misaada hasa wasio jiweza...... alikuja kukamatwa ugoni mazuri yake yaliishia hapohapo.Hata wewe mtu uliye mwamini kwa miaka 10 ukija kumfuma hata anatembea na binti wako tu je utaendelea kumwamini tena?

Kwakweli Sina muda wa kubishana
 
Back
Top Bottom