Mmarekani adumu na Imani yake licha ya nyumba yake kuungua nakubaki majivu

Mmarekani adumu na Imani yake licha ya nyumba yake kuungua nakubaki majivu

Nani ambao ni wasafi ?

Saudia Arabia au wapi? Sema tukuwekee uchafu wao hapa
Hakuna msafi, hata muanzilishaji wa imani yao anakesi ya ubakaji,alibaka katoto ka miaka 9 yeye akiwa na Miaka 56,Sasa shoga na mbakaji watoto nani hatari zaidi?
 
Hakuna msafi, hata muanzilishaji wa imani yao anakesi ya ubakaji,alibaka katoto ka miaka 9 yeye akiwa na Miaka 56,Sasa shoga na mbakaji watoto nani hatari zaidi?
Nawashangaa sana,majanga yakitokea kwa wengine ni Allah analipa kisasi sababu Wana dhambi

Yakitokea Saudia na nchi za kiislamu hawana majibu

Leo ukiwawekea nchi za kiislamu na za Ulaya uwaulize wanapenda wapi wakaishia, wanakimbilia ulaya
 
Usiwe na upande mmoja tu wa lawama,wamarekani ni watu wema sana,wamewatunza Babu zetu mpaka Leo wapo, Wale Babu zetu walioenda uarabuni walichinjiliwa mbali wamarekani ndo waliokuletea hata hiyo smartphone unayowatukana nayo,wamarekani niwatu wanaotetea uhuru,ona baada ya wamarekani, kuondoka Afghanstani wanawake wanateswa na Sheria za kiislam hakuna sehemu wanalazimisha watu kuwa mashoga shida yao ni kwamba wanasema mtu akiamua kuwa shoga mwacheni awe shoga hiyo ni hiari yake na SI kuwafanya wasio mashoga kuwa mashoga labda hapo ndo tunabishana nao
Sivyo ivo sheria za kiislam zinakataza wanawake wasisome au wasiwe mbn wanawake wa kiislam misri Morocco Saudi Arabia wanasoma au Oman
Na vile vile sio ukweli eti utumwa umewasaidia uwepo wa watu weusi USA lkn Arabuni hawapo waarabu weusi wamejaa tele Arabuni tena wale kabla ya utumwa
Jamii za waarabu zimegawanyika mitazamo na utamaduni kama ilivyo kwa Africa ivoo namaanisha Taliban
 
Sizungumzii wa arabu Bali nazungumzia wale Babu zetu mamilioni waliopelekwa kama watumwa uarabuni walipotelea wapi kama si kuuawa kikatili na waarabu,mbona wenzao walioenda Marekani wapo?
 
Zwazwa wewe usiona uovu WA Hamas ila unaona upvu wa Israel tu,yaani kwako wewe waisrael hawana haki ya Kuishi ila waarabi ndo wanahaki yakuishi hizi ni akili za madrasa hakuna kwingine
Toka mwanzo nilivyokua nasoma vicomment vyako,nilijua tu kua unaendeshwa na chuki ya udini.
 
Sizungumzii wa arabu Bali nazungumzia wale Babu zetu mamilioni waliopelekwa kama watumwa uarabuni walipotelea wapi kama si kuuawa kikatili na waarabu,mbona wenzao walioenda Marekani wapo?
Unaongea kama vile umekatwa kichwa ukaachiwa kiwili wili tu,
Nani kakwambia kua blacks wamepotea huko uarabuni?
Tumia hata simu yako kufungua ubongo wako,huko Saudi Arabia,Qatar,Oman,UAE kuna blacks kibao,angalia miji iliyopo Oman inaitwa Sur na Salalah,ni miji ya watu blacks almost,Angalia Qatar na Kuwait kuna blacks kibao,

Acha kua kama sponji linameza kila kimiminika,Dunia ipo open siku hizi.
 
Toka mwanzo nilivyokua nasoma vicomment vyako,nilijua tu kua unaendeshwa na chuki ya udini

Toka mwanzo nilivyokua nasoma vicomment vyako,nilijua tu kua unaendeshwa na chuki ya udini.
U
Unaongea kama vile umekatwa kichwa ukaachiwa kiwili wili tu,
Nani kakwambia kua blacks wamepotea huko uarabuni?
Tumia hata simu yako kufungua ubongo wako,huko Saudi Arabia,Qatar,Oman,UAE kuna blacks kibao,angalia miji iliyopo Oman inaitwa Sur na Salalah,ni miji ya watu blacks almost,Angalia Qatar na Kuwait kuna blacks kibao,

Acha kua kama sponji linameza kila kimiminika,Dunia ipo open siku hi

Saudi wanavamia nchi mbalimbali na kuua watu?wanasapoti ushoga?nk
Hivi ushoga na ubakaji kipi hatari zaidi maana Toka enzi za mtume huko Saudi Arabia wanasapoti ubakaji watoto
 
Unaongea kama vile umekatwa kichwa ukaachiwa kiwili wili tu,
Nani kakwambia kua blacks wamepotea huko uarabuni?
Tumia hata simu yako kufungua ubongo wako,huko Saudi Arabia,Qatar,Oman,UAE kuna blacks kibao,angalia miji iliyopo Oman inaitwa Sur na Salalah,ni miji ya watu blacks almost,Angalia Qatar na Kuwait kuna blacks kibao,

Acha kua kama sponji linameza kila kimiminika,Dunia ipo open siku hizi.
Walokole huwa hawana ubongo mkuu unapoteza mda wako bure
 
U



Hivi ushoga na ubakaji kipi hatari zaidi maana Toka enzi za mtume huko Saudi Arabia wanasapoti ubakaji watoto
Umequote comment kibao hapo,hueleweki hilo swali unamuuliza nani,

Acha kuhamisha magoli,nimekuuliza kuhusu blacks ambao wapo kwenye nchi za kiarabu ambapo wewe umesema hawapo,

Mbona unaonekana vile kama huna akili timamu?
 
Usiwe na upande mmoja tu wa lawama,wamarekani ni watu wema sana,wamewatunza Babu zetu mpaka Leo wapo, Wale Babu zetu walioenda uarabuni walichinjiliwa mbali wamarekani ndo waliokuletea hata hiyo smartphone unayowatukana nayo,wamarekani niwatu wanaotetea uhuru,ona baada ya wamarekani, kuondoka Afghanstani wanawake wanateswa na Sheria za kiislam hakuna sehemu wanalazimisha watu kuwa mashoga shida yao ni kwamba wanasema mtu akiamua kuwa shoga mwacheni awe shoga hiyo ni hiari yake na SI kuwafanya wasio mashoga kuwa mashoga labda hapo ndo tunabishana nao

Wanasema wenyewe huna haja ya kuwasemea


 
Lakini wamarekani wanasambaza uchafu dunia nzima na wanafosi wengine wafanye uchafu.sasa ukisikia Mama wa machukuzo ndiyo Marekani yenyewe.
Tofauti ya Wamarekani na nyie ni kwamba wao wanafaya hadharani wakati ninyi mnafanya sirini.
Ikifanyika honest research a voting, ni lazima Tanzania ikawa na mashoga na wasagaji wengi tena kwa mbaali kabisa kuliko Marekani
 
Back
Top Bottom