Focus120
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 1,089
- 793
Mmasai mmoja mwenyeji wa karatu, amepandishwa *Mwendo Kasi* akiwa na lengo la kufika Arusha, mmasai huyo aliyeonekana mkali sana akiwa eneo la Kimara baada ya kuambiwa watu kuwa basi letu limefika mwisho.
Hapo ndio akaanza kuhoji eti rafiki kwani Arusha imefika, baada ya kujibiwa Hii haiendi Arusha. Ndio akaanza kuwaka Kwa kudai *_'...ile kijana Ubungo nimelipa 35,000/= na kunileta Kwa Hii basi yao mpya! Sasa Hii inatangaza kuwa imefika mwisho, Kwani Hii Arusha...?_*
Note:
_Sina Uhakika kama hii habari ni kweli au lah. Ila Bongo ni jiji la matukio yaweza kuwa kweli_
Hapo ndio akaanza kuhoji eti rafiki kwani Arusha imefika, baada ya kujibiwa Hii haiendi Arusha. Ndio akaanza kuwaka Kwa kudai *_'...ile kijana Ubungo nimelipa 35,000/= na kunileta Kwa Hii basi yao mpya! Sasa Hii inatangaza kuwa imefika mwisho, Kwani Hii Arusha...?_*
Note:
_Sina Uhakika kama hii habari ni kweli au lah. Ila Bongo ni jiji la matukio yaweza kuwa kweli_