BuletAngle
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 688
- 556
Kwanza nieleweshe KULIKOLOGA ,na KUKIKOLOGA ndiyo nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yako mengi sanaHahahahaha mabashite yanageukana?
Hahahahaha mabashite yanageukana?
mlumumba umeandika nini? HuelewekiMme amini mkuu ni wawote na kile alikifanya bwana fulani ilikuwa nikuligologa na kama sio kulikologa alijichanganya kiaina....
Mbona hapakuwa na pingamiz kwa mikoa mingine ila yeye tu...
Kuna majitu wanasema katumwa acheni kufikiri kwa puwa yani mkuu akahangaike na maredio hana kazi zakufanya...
Upumbavu yani mkuu akamtume mkuu wake wa mkoa kufanya jambo la aibu kwa serikali yake...
Basi subirini muone najuwa sas niwakati wakumtenga rais wetu na fitina zakijinga
Haya basi subirini muone
Mbona KILA KUKICHA anapiga simu kwenye MAREDIO,Mme amini mkuu ni wawote na kile alikifanya bwana fulani ilikuwa nikuligologa na kama sio kulikologa alijichanganya kiaina....
Mbona hapakuwa na pingamiz kwa mikoa mingine ila yeye tu...
Kuna majitu wanasema katumwa acheni kufikiri kwa puwa yani mkuu akahangaike na maredio hana kazi zakufanya...
Upumbavu yani mkuu akamtume mkuu wake wa mkoa kufanya jambo la aibu kwa serikali yake...
Basi subirini muone najuwa sas niwakati wakumtenga rais wetu na fitina zakijinga
Haya basi subirini muone