Tetesi: Mme amini wakuu wamikoa wote mkuu ana wapenda....

Tetesi: Mme amini wakuu wamikoa wote mkuu ana wapenda....

Mme amini mkuu ni wawote na kile alikifanya bwana fulani ilikuwa nikuligologa na kama sio kulikologa alijichanganya kiaina....
Mbona hapakuwa na pingamiz kwa mikoa mingine ila yeye tu...
Kuna majitu wanasema katumwa acheni kufikiri kwa puwa yani mkuu akahangaike na maredio hana kazi zakufanya...
Upumbavu yani mkuu akamtume mkuu wake wa mkoa kufanya jambo la aibu kwa serikali yake...
Basi subirini muone najuwa sas niwakati wakumtenga rais wetu na fitina zakijinga
Haya basi subirini muone
mlumumba umeandika nini? Hueleweki
 
Tumia kiswahili hii lugha uliyotumia kuandika hatuifahamu na bila shaka. imekuja na meli.
 
Mme amini mkuu ni wawote na kile alikifanya bwana fulani ilikuwa nikuligologa na kama sio kulikologa alijichanganya kiaina....
Mbona hapakuwa na pingamiz kwa mikoa mingine ila yeye tu...
Kuna majitu wanasema katumwa acheni kufikiri kwa puwa yani mkuu akahangaike na maredio hana kazi zakufanya...
Upumbavu yani mkuu akamtume mkuu wake wa mkoa kufanya jambo la aibu kwa serikali yake...
Basi subirini muone najuwa sas niwakati wakumtenga rais wetu na fitina zakijinga
Haya basi subirini muone
Mbona KILA KUKICHA anapiga simu kwenye MAREDIO,
 
muda wa kufikiria kua uko umekaa chini na kaptula yako imetoboka makalioni ukicheza na watoto wenzio umekwisha na humu siyo mahala pake
 
yaani unataka kumaanisha kuwa kuna mkuu wa mkoa au wilaya bwana president amemgeuka ,,,,, kama sijakosea ,,,, lakini na wewe andika vizuri tukusome
 
Nakuona unapambana na Bashite humu kwa kuanzisha uzi za mafumbo.
Utajamba sana mwaka huu, sijui jamaa kakunyea huko?
 
ujue nilijua unasema " mme kumuamini mke" kumbe ni siasa andiko la mwendokasi
 
Back
Top Bottom