Tetesi: Mme amini wakuu wamikoa wote mkuu ana wapenda....

Kwanza nieleweshe KULIKOLOGA ,na KUKIKOLOGA ndiyo nini ?
 
mlumumba umeandika nini? Hueleweki
 
Tumia kiswahili hii lugha uliyotumia kuandika hatuifahamu na bila shaka. imekuja na meli.
 
Mbona KILA KUKICHA anapiga simu kwenye MAREDIO,
 
muda wa kufikiria kua uko umekaa chini na kaptula yako imetoboka makalioni ukicheza na watoto wenzio umekwisha na humu siyo mahala pake
 
yaani unataka kumaanisha kuwa kuna mkuu wa mkoa au wilaya bwana president amemgeuka ,,,,, kama sijakosea ,,,, lakini na wewe andika vizuri tukusome
 
Nakuona unapambana na Bashite humu kwa kuanzisha uzi za mafumbo.
Utajamba sana mwaka huu, sijui jamaa kakunyea huko?
 
Bash kakufanya nini mbona unamuandama sana?
 
ujue nilijua unasema " mme kumuamini mke" kumbe ni siasa andiko la mwendokasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…