Mme Kuvalishwa Chupi ya Mkewe


yap, sista................kwa washirikia inawezekana pia mganga wake kamuagiza hayo kwa malengo fulani............... hahaha............ take care............
 
Sio siri kama ni kucheka nimecheka. Labda kama walivyosema wenzangu
ni dizaini ya kuboresha mapenzi tu. Lakini mkuu hatujui ya wanawake ni mengi,
nakushauri na wewe hebu jaribu at least kwa mwezi mmoja kumvisha
chupi ya rangi moja pia huku unaangalia mwenendo wake. Utabaini ni nini.
 

...khaaaaa?!!! 😱
haya bana, hataishia hapo huyo...'utunda; na sidiria vitafuatia.
Ombea tu usije anguka hadharani ikabidi watu wasaule nguo zako,...aibu!
 
Ni mapenzi tu hasa pale mambo ya ubunifu yanapohitajika ndo kama hivyo.
Mkeo anakupenda sana kaaamua kuonyesha mapenzi yake kwa style ya kipekee
😉
 
huyo ana wivu. Ivae tu,ila kama inakusumbua waweza ivaa,ukifika hatua mia tu ukaivua,jioniiiiiiiiiiiii.unairudishia tena.
 
Unalogwa ndo limbwata hilo ohooooooooooo..........
 
Duh! lakini hizo chupi visiwe vile vya tumikanda sijui manaita bikini mzee mzima unaweza kujikuta mizigo inakosa support na kuishi kugongwagogwa tu.
 
Ni mapenzi tu hasa pale mambo ya ubunifu yanapohitajika ndo kama hivyo.
Mkeo anakupenda sana kaaamua kuonyesha mapenzi yake kwa style ya kipekee
😉

angekuwa ni FirstGent wako ungemvisha?? ... pamoja na kuwa ni vionjo vya mapenzi lkn mimi naona ni upumbavu ... avae kufuli za mkewe kutwa nzima kazini na arudi nazo tena jioni .. halafu akaguliwe?? mapenzi gani hayo?? thats very ridiculous ... its just a total insecurity ya huyo mama au ana lake jambo. kwa mwanaume rijali sidhani hata kama mtarimbo utasimama baada ya hapo.

pfhuuuu ... God have mercy!!
 

pole sana kwa hilo ... lkn nikuulize swali ... hivi huwa unasimamisha baada ya hapo na unamkanyaga kisawasawa (unatekeleza majamboz) kama kawaida?? huisi kama una mapungufu fulani??
 
Ni mapenzi tu hasa pale mambo ya ubunifu yanapohitajika ndo kama hivyo.
Mkeo anakupenda sana kaaamua kuonyesha mapenzi yake kwa style ya kipekee
😉

si mapenzi wamekosa kazi za kufanya ,na wewe unakubali tu kuvalishawa umetulia, dalili mbaya hizo
 
Endelea na ujinga wako tu,ataanza kukuvalisha pedi huku akikwambia ni mapenzi tu,hebu zinduka na uchukue hatua kulinda uanaume wako.

m-bongo hujatulia.. Nimeipenda sana hii kwenye kabluu.. nakliki SENKSI...
 
Inategemea mwanzo wenu... Kama umemzoesha mkeo hivyo, huna haja ya kulalamika..
 
Huyo mke wako anapenzi lililopita kikomo...wala husimwache mana anajali afya yako. Next time mwambie unapendelea akuvashe chupi chafu yenye kauvundo kwa mbaaaaaali ili unapokuwa kazini uwe unatoa stress kiulaini, yaani unakwenda maliwatoni, unaivua na kuitundika puani kwako huku ukipiga punyeto....angalia tu husiwe unapoteza finger prints kwa punyeto.
 
si mapenzi wamekosa kazi za kufanya ,na wewe unakubali tu kuvalishawa umetulia, dalili mbaya hizo

Nyuki wajua huyo Mwanamke ana jambo lake ..na baada ya muda kasema atamwambia mmewe kwa nini alikuwa anafanya hivo

..Labda atakuja tena kutupa jibu atakalopewa na wife
 
Nyuki wajua huyo Mwanamke ana jambo lake ..na baada ya muda kasema atamwambia mmewe kwa nini alikuwa anafanya hivo

..Labda atakuja tena kutupa jibu atakalopewa na wife

Huyo ana mtega tu, ingekuwa nia ni mapenzi basi asingemkagua akirudi nyumbani. Nia yake ni kutaka kujua kama mumewe huwa ana-cheat mchana na mwanamke mwingine, say at lunch time or whatsoever. Lazima manii zitababaki baki na kuganda kwenye chupi hata mwanaume angeoga vipi. Au hata harufu yake pia huwa inabaki.

Sasa kwa wataalamu wa cheating hapa mjini huwa wanabeba chupi za ziada kwenye buti la gari.....!!! Akimaliza ku-cheat anaoga, kisha anavaa chupi kwa masaa kadhaa, halafu muda mfupi kabla ya kwenda home anajisafisha na anavaa chupi nyingine iliyo safi.

Angalizo: Sijasema wanawake mkakague mabuti ya magari ya waume zenu, shauri yenu, mimi simo
 
kabla sija comment naomba uniambie unavaa chupi zake zipi? G string au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…