Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Huu mmea wa kulima ni utajiri kabisaWatu wengi hufikiri uchungu wa bia unatokana na pombe. Uchungu wa bia hutokana na mmea unaoitwa hop. Watengenezaji wa pombe hutumia mimea mbalimbali kuzipa pombe ladha mbalimbali. Mmoja wa mmea huo ni hop ambao huzipa bia uchungu. Mmea huu upo jamii moja na mmea wa bangi lakini hauna kemikali kama za bangi.
View attachment 3226384
View attachment 3226385
View attachment 3226386
View attachment 3226387
Na tunaupendaChungu lakini ni tamu
Bora ibakie chungu hivi hivi ili tutofautiane na wanaokunywa soda😀😀kwahiyo ukiutoa huo bia ni kama soda tuu
Inakuwa kama kimpumu.kwahiyo ukiutoa huo bia ni kama soda tuu
huo mmea itabidi niupande kwangu nikikosa hela nautafuna tuuBora ibakie chungu hivi hivi ili tutofautiane na wanaokunywa soda😀😀
🤣 HakikaKiufupi bia ni bangi ya kunywa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Safari siku hz wanaweka sukari
Tz unalimwa maeneo ganiHuu mmea wa kulima ni utajiri kabisa