kuna msela kamaliza udsm huwa namuona analima bamia na nyanya pande hizi,so wanaojitapa udsm ebu ngoja tuendelee kuwasiklizia tutapata tu hatima yao.Hivi na ww apo unajiona ni msomi au unajaza idadi ya ------- NA MAMBULULA WANAO EXIST ktk karne ya 21,,,,wengi humu mnafuata mikumbo 2 na maneno ,,hamjui issue zinazoendelea kwny hivyo vyuo mnavyo vipondea,,acheni taarabu zisizo na maana 2songeshe mbele elimu ye2 Tz,,wangapi wamesoma vyyuo ambavyo mnnavipondea na wana chapaa za kutosha 2 na wengne wamesoma hvyo vyuo ambavyo unavtaja hapo juu na choka mbya 2,,,,famba ww,,think just a little bit