Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Chupli Chupli Kila Mahali.Hii timu inaendeshwa kijanjajanja sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chupli Chupli Kila Mahali.Hii timu inaendeshwa kijanjajanja sana.
Nasikia pre-season yenu imekuwa cancelled, sio Turkey tena kama mlivyokuwa mmepanga.Kingwangala alikwisha liona hilo tatizo.
Aisee hio team ina njaa [emoji23][emoji23] watakosa nauli ya kurudi hawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hela yote wametumia kwenye usajili wa aziza kishadaNasikia pre-season yenu imekuwa cancelled, sio Turkey tena kama mlivyokuwa mmepanga.
Umesikia vipiKanji ameshaisusa hii timu.
Hamna tena pesa.
Try Again ana haha kila kona, nasikia ameitwa na kigwanomics nyumbani kwake wakajadiri maendeleo ya timu [emoji23][emoji23]
Kabisa yaaniWewe ndio aliokuwa anawazungumzia eymael
Una elewa nnacho kimaanisha?Watu waki
Watu wakiFanya biashara kumbe ni kitu kibaya au kizuri.
Una maanisha ujinga wako
jamaa kapaniki sanaaa!!hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
nilikuwa sijaona vizuri mpaka nikazoomWazee Wa Kubandua Sportpesa Na Kuweka M-Bet, Unga Unga Mwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2291047View attachment 2291048
Wanaenda Bigwa Mkoani Morogoro.Nasikia pre-season yenu imekuwa cancelled, sio Turkey tena kama mlivyokuwa mmepanga.
Na Bi. Joyce Lomalisa Mutambala.Hela yote wametumia kwenye usajili wa aziza kishada
🤣🤣🤣🤣Kichuya[emoji23][emoji23]
Wee acha uongo wako, wapi kasema? Tutolee upuuzi wako hapaMatola kashasema usajili wa Simba umekamilika,timu waliyoenda nayo kambi ndio timu ya kucheza msimu ujao!!
Nyie wenyewe mmekosa ya kwenda [emoji1250], mnaishia Manungu kwa Thobias Kifaru. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hio team ina njaa [emoji23][emoji23] watakosa nauli ya kurudi hawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Matola sio Head Coach wa Simba Sc. yeye naye ni mwajiriwa tu. Angesema Babra au Try again labda inge make senseMatola kashasema usajili wa Simba umekamilika,timu waliyoenda nayo kambi ndio timu ya kucheza msimu ujao!!