Ccm kama wanaweza kuliteuwa jambazi Makonda kuongoza chama chao unadhani watashindwa jambo gani?Ebu jaribu kutofautisha picha mbili hapo chini kwenye kila angle.
MAGUFULI akiwa Soko la Ferry, Dar es salaam
View attachment 2788954
SAMIA akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora.
View attachment 2788952
BINAFSI: Nimeshangaa kijiwe cha wanywa kahawa wanawake, sijawai kuona kijiwe cha kahawa cha wanawake. Pili utofauti niliouona na Sitting Position za marais, mmoja kakaa katikati ya wazee na rasta man (anaonekana ni mzee wa kumoka), na mwingine kakaa kiti cha peke yake akitizamana na wamama
Muandiko unafananaMhaya wewe ndiye Andre-Pierre
Upo sahihi mkuu. Hapo ni Tangawizi na karanga, ufuta kwa kashata.Nimeishi nzega tangu 1988,nimecheza mpira viwanja vya parking kabla haijageuzwa kuwa parking ya malori,parking na nzega pana starehe ya tangawizi,mihogo ya kuchemsha na karanga,hao akina mama hawauzi kahawa bali tangawizi
Bora umesema mkuu mana mm najua pale wamama wa chai wapooNimeishi nzega tangu 1988,nimecheza mpira viwanja vya parking kabla haijageuzwa kuwa parking ya malori,parking na nzega pana starehe ya tangawizi,mihogo ya kuchemsha na karanga,hao akina mama hawauzi kahawa bali tangawizi
Alafu vyombo nyumbani aoshe nani?Kwani wanawake hawaruhusiwi kunywa gahawa?
Vijiwe vya mchongo hivyo, hata hilo umeshindwa kung'amua?Ebu jaribu kutofautisha picha mbili hapo chini kwenye kila angle.
MAGUFULI akiwa Soko la Ferry, Dar es salaam
View attachment 2788954
SAMIA akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora.
View attachment 2788952
BINAFSI: Nimeshangaa kijiwe cha wanywa kahawa wanawake, sijawai kuona kijiwe cha kahawa cha wanawake. Pili utofauti niliouona na Sitting Position za marais, mmoja kakaa katikati ya wazee na rasta man (anaonekana ni mzee wa kumoka), na mwingine kakaa kiti cha peke yake akitizamana na wamama
Kwani beki tatu ana kazi gani?Alafu vyombo nyumbani aoshe nani?
Huyo Rasta sio Pai kweli?? Ama idaraEbu jaribu kutofautisha picha mbili hapo chini kwenye kila angle.
MAGUFULI akiwa Soko la Ferry, Dar es salaam
View attachment 2788954
SAMIA akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora.
View attachment 2788952
BINAFSI: Nimeshangaa kijiwe cha wanywa kahawa wanawake, sijawai kuona kijiwe cha kahawa cha wanawake. Pili utofauti niliouona na Sitting Position za marais, mmoja kakaa katikati ya wazee na rasta man (anaonekana ni mzee wa kumoka), na mwingine kakaa kiti cha peke yake akitizamana na wamama