Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Madogo hawajarogwa, wameuwasha sio kawaida, wana spidi, nguvu, control na ball limetembea haswaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nadhani wangemuacha juma mgunda tukamuona,,kuliko kuleta watu wa nje aharafu wanachsha tu
Haya yote unayasema kwenye mechi ipi hiihii ya Hawa jombaa wanaoshika mkia na wenye dalili zote za kushuka daraj.Madogo hawajarogwa, wameuwasha sio kawaida, wana spidi, nguvu, control na ball limetembea haswaaa
na Azam watakuwepo si ndio???Madogo hawajarogwa, wameuwasha sio kawaida, wana spidi, nguvu, control na ball limetembea haswaaa