habari wana bodi!!!
nikawaida kwa mwanafunzi wa masomo ya juu kusoma hata kama akiwa na ujauzito ilimradi awe na uwezo wa kuyahandle mambo yote hayo kwa wakati mmoja,lkn pamoja na ukawaida wake huo hali iliyopo sasa DUCE kidogo inashangaza kwani kuna idadi kubwa mno ya wanafunzi wa kike wanaosoma wakiwa na ujauzito kwa haraka haraka tathmini inaonyesha katika kila wanawake kumi utakaokutana nao duce saba wana ujauzito sasa sijui masomo wanayosoma ni mepesi sana au wanashindwa kujizuia au hawatumii chachandu au ni maamuzi tu but all in all kila rakheri katika masomo yenu.
nikawaida kwa mwanafunzi wa masomo ya juu kusoma hata kama akiwa na ujauzito ilimradi awe na uwezo wa kuyahandle mambo yote hayo kwa wakati mmoja,lkn pamoja na ukawaida wake huo hali iliyopo sasa DUCE kidogo inashangaza kwani kuna idadi kubwa mno ya wanafunzi wa kike wanaosoma wakiwa na ujauzito kwa haraka haraka tathmini inaonyesha katika kila wanawake kumi utakaokutana nao duce saba wana ujauzito sasa sijui masomo wanayosoma ni mepesi sana au wanashindwa kujizuia au hawatumii chachandu au ni maamuzi tu but all in all kila rakheri katika masomo yenu.