Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
naye alikuwa mjamzito au unamlink vipi na mada tajwa!!Mtela Mwampamba alimalzia hapo DUCE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naye alikuwa mjamzito au unamlink vipi na mada tajwa!!Mtela Mwampamba alimalzia hapo DUCE.
Mmmmh! Mtata weye?! Unaniponda halafu unanifagilia...Yaani we mwehu kweli inamaana huwezi kuunganisha doti ukajua nazungumzia nini? Ila una jina kama la bwana wangu japokuwa yeye anaitwa WILLIAM
Walimu huwa wanawaza ngono muda wote tu.over
Mmmmh! Mtata weye?! Unaniponda halafu unanifagilia...
Hapo kwenye bwn wako ni mume au mkuu wako wa kazi au Bwn gani?!
Tuko pamoja just kidding...
.??????????????????????????????Mkuu acha kudanganya watu bwana, DUCE haiko mbali kiasi udhani unayepahamu ni wewe tu, wanawake wajawazito DUCE wapo kama ambavyo wapo katika vyuo vikuu vingine, hiyo ratio ya 7/10 is very far exagerated...
habari wana bodi!!!
nikawaida kwa mwanafunzi wa masomo ya juu kusoma hata kama akiwa na ujauzito ilimradi awe na uwezo wa kuyahandle mambo yote hayo kwa wakati mmoja,lkn pamoja na ukawaida wake huo hali iliyopo sasa DUCE kidogo inashangaza kwani kuna idadi kubwa mno ya wanafunzi wa kike wanaosoma wakiwa na ujauzito kwa haraka haraka tathmini inaonyesha katika kila wanawake kumi utakaokutana nao duce saba wana ujauzito sasa sijui masomo wanayosoma ni mepesi sana au wanashindwa kujizuia au hawatumii chachandu au ni maamuzi tu but all in all kila rakheri katika masomo yenu.
Dk Savinus
Maronga aliliambia gazeti
hili kuwa baada ya kuona
kuna watu wengi
wanaopenda kuendelea
na masomo ya elimu ya
juu, lakini wameshindwa
kutokana na kutokuwa na
vigezo, TCU imeamua
kuanzisha mitihani hiyo
maalumu