Mmh! hapa Diamond umetupiga changa la macho

Mmh! hapa Diamond umetupiga changa la macho

Kiranga me najuaga hii id ni ya she ila kwa hii mistari uliyoshusha mamaa unanifanya nisome kama na flow na beat cuz am a big funny of hip -hop,u gt talent and skills mamaa,big up!!

Kiranga wa mistari, mkali rijali
Mwite she, shari, umenunua zali
Hafuati mila , ndoa bila mahari
Nguvu kaa uvutano kati ya jua na sayari
Galagaza chini chali, hii kubwa gari
Kukurudisha shule ka mtoto na daftari
Mistari mali, yavuma kila pahali
Kaa kidari, cha ndalilo ndali
Toka kuu bahari Bali mpaka jangwa Kalahari
Tenzi tamu asali, tungo urari halali
Wachimba chumvi wasali, toba, kimbunga, hatari
Utalinganisha vipi mwanga wa jua na kibatari?
Napinga mpaka jalali, si dalali wa uBalali
Wenye njaa ya mawazo nashibisha kama wali
Toka vidume mpaka hata wanawali
Mabishoo hata Rastafari wa Sanawari
Mpaka washashi watahayari kwa hiyari
Kiranga kiranja kipanga wa anga toka Upanga via Mkuranga
Hiyo tayari
Kaanga ka karanga, charanga Ananga Ranga,
Hiyo habari
 
nikikupa wewe utanifundisha.........

Ntakufundisha tutapractice utaelewa tuu...

British council huwa wanawanoa watu ili wafuzu mitihani yao ya IELTS & ESL kwa ajili ya kupata gamba lao specially kama unataka ukasome mbele lazima uwe nalo....

Lakini future...past....continuous kama kawa hahahaha

Nilisomaga na kufaulu mtihani wao kipindi nataka kwenda kimasomo mbele...

Wako makini
 
Kiingereza kizuri ni kile cha kujifunza kuongea na watu, unaweza kwenda British ukamaliza ukarudi kwenu tandale aya utaanza kuongea na nani? , shida ni mazoezi tu, unaweza kuanza Ku watch English program kama CNN , filamu za English zenye subtitlle, kusoma vitabu vya kiingereza, yaan mazingira mengi uki ya tune ki English English nadhan inawezekana, hakuna miujiza, wengi wanafundishag mambo ya future,present n past tense kitu ambacho nakionag magumashi.huwezi amini nikipata maji ya dhahabu nagonga yai hatari had watu wananiogopa nikiwa mzima sasa duh ni vigumu kuongea coz nakuwa cjiamin ila najua nakimud kwa kias chake

Umenena unono. Niliingia JF kujifunza kiswahili. Na kwasababu ninauvivu wakusoma magazeti na vitabu vya kiswahili Niliingia hapa kwenye udaku. Sikujua hawa macelebs wa TZ, na mpaka sasa kunamatamshi mengine hunipita. Lakini kwa sababu ya utamu wa udaku, ninasoma comments na kamusi karibu. Hivi sasa speed ya kusoma imeongezeka. Kwa kuongea, na jaribu kupunguza code mixing na Sheng.
 
Ntakufundisha tutapractice utaelewa tuu...

British council huwa wanawanoa watu ili wafuzu mitihani yao ya IELTS & ESL kwa ajili ya kupata gamba lao specially kama unataka ukasome mbele lazima uwe nalo....

Lakini future...past....continuous kama kawa hahahaha

Nilisomaga na kufaulu mtihani wao kipindi nataka kwenda kimasomo mbele...

Wako makini

Mi sitakag kuamini mtu hujui English kabisa uende British halaf ujue fluent English within a short period of time, what a miracle? Waache kudanganya watu bhna , mi naamini ukijibiidisha mwenyew unafanikiwa, kuna kipindi niliingia kwenye Jamii forum ya kizungu nikawa member tukawa tunabadilishana mawazo kwa lugha hyo, the more you practise the more skills zako zinavyozid kuongezeka, hyo ni lugha njia nzuri nzuri ya kuelewa ni kuongea tu hakuna miujiza
 
Mi sitakag kuamini mtu hujui English kabisa uende British halaf ujue fluent English within a short period of time, what a miracle? Waache kudanganya watu bhna , mi naamini ukijibiidisha mwenyew unafanikiwa, kuna kipindi niliingia kwenye Jamii forum ya kizungu nikawa member tukawa tunabadilishana mawazo kwa lugha hyo, the more you practise the more skills zako zinavyozid kuongezeka, hyo ni lugha njia nzuri nzuri ya kuelewa ni kuongea tu hakuna miujiza

Ndo maana nikasema hapo juu British council huwa wanatoa certificate ya kuonyesha unaimudu lugha ya kiingereza na cheti hiki ni muhimu kama unataka kwenda kusoma UK hata Australia
 
Ndo maana nikasema hapo juu British council huwa wanatoa certificate ya kuonyesha unaimudu lugha ya kiingereza na cheti hiki ni muhimu kama unataka kwenda kusoma UK hata Australia

Nimekusoma mkuu
 
nikikupa wewe utanifundisha.........

Binamu lugha haifundishwi, unless other wise ndo iwe Mara yako ya kwanza kusoma kiingereza toka uzaliwe, kitu ambacho sikiamini, level yako binamu uliyonayo hupaswi kufundishwa chochote zaidi ya Ku practise kuongea na watu na kusikiliza vipindi vya kiingereza pamoja na kusoma vitabu vya lugha hyo Mara kwa Mara, mwisho wa siku unajikuta fluent in English, izi tamthiliya na zenyewe zinasaidia sana, wana kiingereza kizuri
 
Back
Top Bottom