Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Ni jambo la ajabu Sana timu inayoshiriki michuano mikubwa kama hii inafungwa mabao ya aina moja ndani ya dk 4?
Aina ya namna beki zake zinavyojipanga kucheza mipira ya kona ni kichekesho kingine, Simba huwa wanayo bahati kukutana na aina ya timu za ovyo ovyo kama hizi hatua za mwanzo.
Wala wasijisifu kuwa wamekuwa bora kwenye hii mechi bali wamekutana na mgonjwa aliekuwa anasubili kukata roho, kwa kiwango hiki cha simba leo wanatakiwa wafanye kazi ya ziada kama wanataka kufika mbali kwenye hii michuano la sivyo wakishupaza shingo na kujiona wako bora kwakuwa wameshinda Leo watakuwa wanajichimbia kaburi Lao wenyewe.
Unapokutana na mbovu mwenzako lazima kati yenu lazima apatikane mwenye nafuu ndo kinachotokea leo, Najua kuna wapuuzi watakuja apa kujisifu na kutamba nawapa pole yenu mjipange!
Aina ya namna beki zake zinavyojipanga kucheza mipira ya kona ni kichekesho kingine, Simba huwa wanayo bahati kukutana na aina ya timu za ovyo ovyo kama hizi hatua za mwanzo.
Wala wasijisifu kuwa wamekuwa bora kwenye hii mechi bali wamekutana na mgonjwa aliekuwa anasubili kukata roho, kwa kiwango hiki cha simba leo wanatakiwa wafanye kazi ya ziada kama wanataka kufika mbali kwenye hii michuano la sivyo wakishupaza shingo na kujiona wako bora kwakuwa wameshinda Leo watakuwa wanajichimbia kaburi Lao wenyewe.
Unapokutana na mbovu mwenzako lazima kati yenu lazima apatikane mwenye nafuu ndo kinachotokea leo, Najua kuna wapuuzi watakuja apa kujisifu na kutamba nawapa pole yenu mjipange!