Wewe unayejua sababu ya Yanga kuondolewa mapema tueleze mbali na Kiwango duni.Na wewe Una lolote ni walewale waliokunywa uji wa mgonjwa akafariki, maneno ya kiongozi gani yalikuvimbisha wewe kichwa, auelewi ata sababu ya yanga kuondolewa mapema umebaki kuwa bendera fuata upepo tu, unadandia treni kwa mbele na sidhani Kama ni mwanayanga wewe, unajifanya mwanayanga kumbe ndo ile ile mikia ya paka
Mmelipa faini kwanza?Kushinda nini? Yaani hii timu iliyojaa wavunja kuni, sio muda mrefu Ataanza kutafutwa msaliti
Ww nimeamua kutokukujibu chochoteMmelipa faini kwanza?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ww nimeamua kutokukujibu chochote
Aya sawa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Lipeni faini kwanza ndio tuongee. Mambo ya kimataifa mnazidiwa hadi na Namungo hii siyo sawa.
Kigoma mlimkojolea nani mkuu?Waliobebwa ndo hao hao wanawakojolea kila mnapokuktana nao sijui mliwabebaje apo maana amkuchukua kwao ata point moja ya maana ni kichekesho, awa jwaneng unawalinganisha na Rivers? Awa kiwango chao ni sawa na mbeya city, au majimaji ya songea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utopwinyo iliishia wapi zaidi ya kubakwa mtoni
Inategemea unalinganisha na timu gani?Hawa Galaxy ni wachovu wandugu! Sijui wamefikaje hatua hii? Hata kama tumeshinda ila ukweli ni katimu kabovu mno!
Wabovu kwa kua wanacheza na miamba ya soka Africa mashariki na kati simba sc. Ingekua wanacheza na utopolo.ungesikia ile club ni kubwa ndio maana.tukafungwa ina mpka uwanja wake yenyewe ipo juu sana. 🤣🤣🤣 mtapata tabu saanaHawa Galaxy ni wachovu wandugu! Sijui wamefikaje hatua hii? Hata kama tumeshinda ila ukweli ni katimu kabovu mno!
Mazezeta ni simba au manyani ya utopoloni kule yanako danganywa kuwa ropo ropo atawapa makombe🤣🤣🤣🤣🤣Misukule ya mo kwenye ubora wake, nendeni ayo makundi lakini mkae mkijua yatawakuta mazito na kwakuwa mzezeta ya mo mko wengi humu ndo mtapoteana kabisa maana ukweli unawaumiza sana, mda ni mwalimu mzuri sana
Misukule ya mo kwenye ubora wake, nendeni ayo makundi lakini mkae mkijua yatawakuta mazito na kwakuwa mzezeta ya mo mko wengi humu ndo mtapoteana kabisa maana ukweli unawaumiza sana, mda ni mwalimu mzuri sana
Visit KILIMANJARO & ZANZIBAR imeishia wapi?Simba ile ya kipindi kile unalinganisha na huu uharo? Basi simba hii iende tena ikamfunge plateau tuone Kama nyie ni wanaume kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa mujibu wa CAF NAMUNGO ipo juu ya YANGA.
Inauma lakini ndio ukweli.
Ama kweli MBWA atabaki kuwa UMBWA milele.Hawa wakitaka wajue timu yao ni bora kiasi gani basi waangalie game zao tatu yaani Mazembe, Yanga na Biashara ambazo zote walipigwa
Hii timu anatafutwa msaliti muda si mrefu
Ila simba anaenda makundi pamoja na mechi kukosa mvutoUkitaka wakimbie uzi uwambie wanakutana na yanga wiki ijayo uone watavyobana mik,,,ndu yao apa, wabotswana ata kushoot tu golini awajui sijui ile timu waliyoitoa kwa 2-1 inaonekana ni Kama zile timu za Djibouti, shelisheli na Somalia, maana ni mechi ambayo aikuwa na mvuto kabisa
Kumbuka mwaka jana simba ilianzia nigeria ikapita, yanga mwaka huu imeanzia nigeria chaliWewe unaonyesha kabisa ulivyo mweupe kichwani, kwa mpira upi uliocheza Botswana mpaka upoteze network kichwani? Eti uenda ikatwaa ubingwaa labda ubingwa wa kuloga na kufuga paka vinginevyo mnayo hali mbaya Sana msimu huu, kama mnaangaishwa na timu isiyokuwa na mbele wala nyuma mkikutana na wanaume ndo mtaimba vizuri