Mmh! Sio tapeli huyu?

Mmh! Sio tapeli huyu?

Hivi huwa mnafurahishwa na mimeseji mingi mingi ya majina lukuki hivyo?? 😊😊😊
UNAITWA BABY 🐥 MPAKA UNAOGOPAAA...

Zamani kipindi nipo single (bachelor) nilikuaga naogopa Sana WANAWAKE waomba PESA (KAUSHA DAMU)

What it's what's it's
 
sweet chats hapo mkeka unaandaliwa Mkuu
 
Jiandae kuna Missile ipo njiani, hakunaga sifa za burebure
 
Mbona kama anaset bomb sisi wataalamu wa miripuko hapo huwa tunawahi kulala chini
 
Hapo kizinga kinaandaliwa.
Hawa wanawake akili zao wanazijua wenyewe 😂
 
Back
Top Bottom