Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Ushindwe, Ulegee, Unyong'onyee na Upotee😂Mtaachana tu..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushindwe, Ulegee, Unyong'onyee na Upotee😂Mtaachana tu..!
Yaishe! Harusi usininyime kadiUshindwe, Ulegee, Unyong'onyee na Upotee
Daah.. hapo sasaYaishe! Harusi usininyime kadi
Okoa kibunda watakuja kukukemea na kukusanua..
Na wewe umejibu hapa, huna kazi ya kufanya. Ukijiona wewe umepata mapumziko baada ya kufanya kazi, basi na yeye kapata mapumziko baada ya kufanya kazi.Mtu kama huyo ni hana kazi za kufanya,mimeseji yote hiyo ya nini?
UNAITWA BABY 🐥 MPAKA UNAOGOPAAA...Hivi huwa mnafurahishwa na mimeseji mingi mingi ya majina lukuki hivyo?? 😊😊😊
😃😃😃UNAITWA BABY 🐥 MPAKA UNAOGOPAAA...
Zamani kipindi nipo single (bachelor) nilikuaga naogopa Sana WANAWAKE waomba PESA (KAUSHA DAMU)
What it's what's it's
Yaan Mimi na chuki binafsi na wanawake waomba pesa..
Stuka bro tareh huzionii mwezi umeshakata huo kodiii kamand
Kuna wengine hiyo ndio love language yaoHivi huwa mnafurahishwa na mimeseji mingi mingi ya majina lukuki hivyo?? 😊😊😊
Ukiona demu anabebanisha message ujue kwanza amewapanga pili anataka akupe invoice
Itakua aiseee...Kuna wengine hiyo ndio love language yao
NakaziaHapo kizinga kinaandaliwa.
Hawa wanawake akili zao wanazijua wenyewe 😂